Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Juzi alikuwa Iringa akisema kuwa ccm wasilaumiwe kwa ufisadi (wa ccm of course)
I am glad CCM taifa wanam-sideline sana! Ingekuwa enzi zake ilikuwa balaaa wacha ale pension zake siasa haziwezi
Juzi alikuwa Iringa akisema kuwa ccm wasilaumiwe kwa ufisadi (wa ccm of course)
I am glad CCM taifa wanam-sideline sana! Ingekuwa enzi zake ilikuwa balaaa wacha ale pension zake siasa haziwezi
ha ha ha wewe naona unamtafuta mtu hapa ... mimi nimevuta ndovu barridi hapa nikitizama kwa makini
Leo sijui kwa nini nimeikumbuka Thread hii.......Ilikuwa tamu japo imechakachuliwa.....- Malecela is doing great na atashinda tena ubunge, aliumbwa na Mungu, Mwinyi alimuomba toka Commonwealth hakuwa jobless, never! pamoja na minjama yote ile, tizama tena historia, mnakuwa na chuki mno hata ukweli hamuuoni, he is just doing fine mkuu dua la kuku unajua halimpati mwewe!
Es!