Kijana apiga mbizi kutekeleza agizo la Magufuli!

Ktk hali nisiyo amini, tumepokea taarifa za tukio lenye kufanana na la kigaidi pale feri, na tupofika amini usiamini tumekuta kijana anaekadiriwa kuwa na miaka 26 hivi, akiwa kituo kidogo cha polis kwa kutuhumiwa kuvuka kwa kuogelea,
Imeniwia vigumu sana kuamini, lakini nipo jaribu kumhoji akanimbia kuwa alikosa nauli ya shilingi 200 akaona bora apige mbizi kama agizo la magufuli lilivyo semwa!

Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa mahojiano zaidi!

Huyu mtu kwa haraka haraka ni kwamba ametaka kutolewa kwenye vyombo vya habari kama JF na kadhalika na kwamba alitaka sisi tujue kwamba anaweza kuogelea lakini si kwamba kukosa sh200 ndo kumemfanya aongelee hadi ng'ambo kama hujui kuogelea kama unabisha kajaribu wewe uliyetoa thret hii kama utaweza, vitu vingine havina umuhimu wowote kuvileta humu watu mnaonekana kama hamna kazi za kufanya.

Hata hivyo siku zote naichukia siasa sana kwa maana kwenye siasa ukichukiwa na wanasiasa wenzio au chama chako kikichukiwa basi hakuna utakalosema wananchi wakaliona la maana, soma kwa makini hapa ili uelewe ninachotaka kusema, Mimi nilimshangaa sana Chapombe John waliposema alimshangaa Mh. Mnyika John, Chapombe alisema alitegemea Mnyika apeleke proposal za jinsi ya kutatua matatizo ya foleni wakat yryr mwenyewe alitakiwa kutoa pendekezo lake la kuongeza nauli kwa Project yake ya Boat kutoka Bagamoyo hadi Dar ambapo kungekua na vitua kadhaa kabla ya kufika Bagamoyo.
Aliteakiwa kuonyesha Presentation yake kwa wananchi na kuchukua maoni yao harafu ndo kupandisha nauli kungefuata sidhani kama wananchi wangempinga, maana mantiki yake inaleta maana sana kuondoa siasa, Kupanda kwa nauli ya kivuko sioni tatizo ila tatizo ni kutangazwa na mwanasiasa ambae chama chake kwa kiasi kikubwa kimepoteza mwelekeo na imani kwa Wananchi wake na hcho ndo chanzo cha marumbano yanayoendelea sasa.
Ngoja nichukulie kwa wanaokaa Ubungo ambako nimeambiwa kuna maendeleo ambayo yamesababishwa na Mh. Mnyika, ukiwa Posta na unataka kurudi Ubungo wewe mwenyewe wala bila tangazo la Chapombe unaenda akiba unapanda gari kwa shs 200 hadi posta na kisha unatoa nauli nyingine ya kwenda ubungo mbona hamlalamiki? Ukiwa Posta na unataka kwenda Gongo la Mboto ni hvyo hvyo, kipi cha ajabu ambacho Chapombe kakifanya? huwezi kupata kingine ila jambo limechukuliwa kisiasa na aliyetangaza chama chake ndo kama hvyo tena,
Ok angalia tena Ubungo terminal, kwa miguu yako mwenyewe unaingia kwa sh200 unapewa ticket na ukipoteza ticket ukiwa bado hujatoka utatozwa sh 200 tena nani alishawahi kulalamika? au watu wa Kigamboni hawatumii Ubungo Terminal kwamba hawajui haya? Yaani Watanzania bana mara nyingi tumekua kigeu geu na hatuna misimamo ya kweli kama mtu anafanya jambo la maendeleo hata kama ni wa chama gani asapotiwe huo ndio Ujamaa,
Mara nyingi nimeona threats ambazo zinatolewa na wadau mbali mbali kama ni za chama tawala zitatolewa lugha ngumu mpaka basi hii ni dalili tosha kwamba chama tawala kimepoteza mwelekeo kaabisa na imani kwa wananchi wake ila ningeona wana JF wamaana sana na watu makini kama wangekua wanachukua muda kuangalia mambo kabla hawajasema chochote na ikumbukwe pia Watanzania sisi ni wavivu saaana wa kujituma na si wabunifu ila ni hodali wa kulaaumu na kutoa visingizio.
 
Ktk hali nisiyo amini, tumepokea taarifa za tukio lenye kufanana na la kigaidi pale feri, na tupofika amini usiamini tumekuta kijana anaekadiriwa kuwa na miaka 26 hivi, akiwa kituo kidogo cha polis kwa kutuhumiwa kuvuka kwa kuogelea,
Imeniwia vigumu sana kuamini, lakini nipo jaribu kumhoji akanimbia kuwa alikosa nauli ya shilingi 200 akaona bora apige mbizi kama agizo la magufuli lilivyo semwa!

Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa mahojiano zaidi!
Baadhi ya wanaJF wasioelewa taratibu za kiusalama wataomba sasa hivi picha we ngoja kidogo najua baadhi huwa hawapitii post kwa post.
 
People pleaser ... Ni ugonjwa!!

People pleaser, ni Kukosa nguvu ya upendo wa dhati wa kiuzazi na malezi wa kumkosoa na kumlea mtoto .... The Tough Love... Familia itategeneza majambazi na watoto hovyo kijamii na kitaifa.

Viongozi waliokosa TOUGH LOVE ... ni Viogozi wazembe, wanaodekeza na kukubali wanao na hatimaye wananchi wanao deka ... kwa cheaap popularity ....kwa kuwa hawana UTU unaoendana na UPENDO WA DHATI, UPENDO MKUU, UPENDO WA MZAZI anayemajali mtoto hata kama atapata maaumivu ya muda lakini lazima kumkosoa na kumpa miogozo hata kama ina maumivu kwa kuanzia.

Viongozi wote Tanzania ni people pleaser ... wako legelege ...hawna upendo wa kiuzazi, wanfanya timing za kihuni, sio wakweli ...

Wimpy People pleaser Leadership ...Has no different from a ruthless Dictator!!!!

Nani amtaje kiogozi mmoja mwenye UPNDO MKUU na nchii hii ... The Real Dad with Tough Love ...!!!!!! The Real President with Tough Love, The Real Ministers with tough Love ....

Without tough love we dont have a real family and we dont have a nation ....!!!

Ulege lege tuuu ...

Na familia ya namna hii inazalisha Majambazi, Madikteta, mzezeta ..kwani Taifa hili halina ..hao watu ... ?


Ndiyo maana huwa nasema, huwezi kuendesha/kuongoza nchi ( jamii) huku ikijua unavyofanya sivyo. Hata ukiongea watu watainama chini na kufyonza au kutukana. Matokeo yake ni utendaji mbovu, uetekelezaji wa maagizo yote unayotoa utakuwa chini ya kiwango, na hata morali ya watu kufanya kazi itakuwa iko chini wakisubiri mtu wa kuonyesha njia huku huyo mtu akiwa msafi.
 
Baadhi ya wanaJF wasioelewa taratibu za kiusalama wataomba sasa hivi picha we ngoja kidogo najua baadhi huwa hawapitii post kwa post.
Mimi huwa simuamini mleta mada.....na hii siamini hata kidogo.....aweke ushahidi mwingine...
 
Nikweli hapa nilipo kichwa kinaniuma sana, kwanini tumemkamata?? Yani najiuliza na kila mmoja wetu hapa anajiuliza kwanini tumemkamata? Lakini viongozi wetu wanasema afikishwe mbele ya sheria!

Viongozi gani mkuu hawakusikia alichosema magufuli?
 
Nikweli hapa nilipo kichwa kinaniuma sana, kwanini tumemkamata?? Yani najiuliza na kila mmoja wetu hapa anajiuliza kwanini tumemkamata? Lakini viongozi wetu wanasema afikishwe mbele ya sheria!

Sasa ndugu yangu Jason Bourne huyu akifikishwa kwenye vyombo vya sheria atashitakiwa kwa kosa lipi? Au ndiyo atatungiwa kosa akifika huko?
 
Nauli ya 200/- si kigezo cha kupiga mbizi eti kwa kushindwa kulipa. Mbona ubungo Terminal tunalipa 200/- ili uvuke geti kwa miguu yako. Wasafiri na wanawaunga mkono tutafakari zaidi!

baba kuingia ubungo terminal ni optional. hata ikiwa buku sio mbaya kwanza inacontrol population. sasa kuvuka kuja posta kutafuta riziki huo si mpango. nani kakuambia kwa mia ilikuwa inajiendesha kwa hasara?
 
Baadhi ya wanaJF wasioelewa taratibu za kiusalama wataomba sasa hivi picha we ngoja kidogo najua baadhi huwa hawapitii post kwa post.

Mwambie aweke picha hapa, mbona aliyemuua jeiwi tumemuona iweje huyu bingwa wa kuogelea!

Kwa sisi watu wa huku ferry (mtaa wa nkwanza ukishavuka kuja mjimwema), kumuona mtu anavuka bahari kwa kuogelea sio ishu, watu wanakukwapua na anakimbilia baharini kujichanganya na watu wa soko la samaki
 
Nauli ya 200/- si kigezo cha kupiga mbizi eti kwa kushindwa kulipa. Mbona ubungo Terminal tunalipa 200/- ili uvuke geti kwa miguu yako. Wasafiri na wanawaunga mkono tutafakari zaidi!
sasa unataka kubisha nini akati mleta mada ndo keshakuhakikishia hivo.
 
Nauli ya 200/- si kigezo cha kupiga mbizi eti kwa kushindwa kulipa. Mbona ubungo Terminal tunalipa 200/- ili uvuke geti kwa miguu yako. Wasafiri na wanawaunga mkono tutafakari zaidi!

jaribu kufikiri tofauti ya ubungo terminal na feri afu utafakari utaona conditions zilivyo tofauti.
 
Ktk hali nisiyo amini, tumepokea taarifa za tukio lenye kufanana na la kigaidi pale feri, na tupofika amini usiamini tumekuta kijana anaekadiriwa kuwa na miaka 26 hivi, akiwa kituo kidogo cha polis kwa kutuhumiwa kuvuka kwa kuogelea,
Imeniwia vigumu sana kuamini, lakini nipo jaribu kumhoji akanimbia kuwa alikosa nauli ya shilingi 200 akaona bora apige mbizi kama agizo la magufuli lilivyo semwa!

Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa mahojiano zaidi!

Ndo maana tunasema mapolisi nyie hamtumii akili hapo mmemchukua kwa kosa lipi? Mnampotezea muda tu kijana wa watu kwenda kugema mnazi Gezaulole
 
Teheteeehe mimi nipo chini ya watawala kiusalama
Mkuu kuna siku nikuuliza kama ulisoma walaka wa Mwigamba mwenyekiti CHADEMA ARUSHA ukasema hujauona ulikuwa kongo nikakuwekea... kifupi mkuu inabidi muanze kuwakatalia hao maboss wenu siyo kila kitu ndiyo afande.....
 
Jamani tujuzeni kinachoendelea ktk mkutano wa katiba pale ddddddddddddddddddd Jubilee
 
Ishu hii ya nauli imekuzwa tu.
Tatizo ni majazba ya makufuli.
OTIS
 
tena karibu tutaanza kulipia kupita kwenye daraja la RUVU, KAWE, iKIWIRIRI ( MKAPA BRIDGE) ...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom