Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Kweli serikali legelege hasara yake ndiyo hiyo.
Inanigusa matukio km haya ambayo imekosa mwongozo.
People pleaser ... Ni ugonjwa!!
People pleaser, ni Kukosa nguvu ya upendo wa dhati wa kiuzazi na malezi wa kumkosoa na kumlea mtoto .... The Tough Love... Familia itategeneza majambazi na watoto hovyo kijamii na kitaifa.
Viongozi waliokosa TOUGH LOVE ... ni Viogozi wazembe, wanaodekeza na kukubali wanao na hatimaye wananchi wanao deka ... kwa cheaap popularity ....kwa kuwa hawana UTU unaoendana na UPENDO WA DHATI, UPENDO MKUU, UPENDO WA MZAZI anayemajali mtoto hata kama atapata maaumivu ya muda lakini lazima kumkosoa na kumpa miogozo hata kama ina maumivu kwa kuanzia.
Viongozi wote Tanzania ni people pleaser ... wako legelege ...hawna upendo wa kiuzazi, wanfanya timing za kihuni, sio wakweli ...
Wimpy People pleaser Leadership ...Has no different from a ruthless Dictator!!!!
Nani amtaje kiogozi mmoja mwenye UPNDO MKUU na nchii hii ... The Real Dad with Tough Love ...!!!!!! The Real President with Tough Love, The Real Ministers with tough Love ....
Without tough love we dont have a real family and we dont have a nation ....!!!
Ulege lege tuuu ...
Na familia ya namna hii inazalisha Majambazi, Madikteta, mzezeta ..kwani Taifa hili halina ..hao watu ... ?