Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Ktk hali nisiyo amini, tumepokea taarifa za tukio lenye kufanana na la kigaidi pale feri, na tupofika amini usiamini tumekuta kijana anaekadiriwa kuwa na miaka 26 hivi, akiwa kituo kidogo cha polis kwa kutuhumiwa kuvuka kwa kuogelea,
Imeniwia vigumu sana kuamini, lakini nipo jaribu kumhoji akanimbia kuwa alikosa nauli ya shilingi 200 akaona bora apige mbizi kama agizo la magufuli lilivyo semwa!
Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa mahojiano zaidi!
UPDATES:
Uchunguzi wa awali umebainisha kuwa kijana alitumwa na wapinga nauli mpya, kijana kabainisha wazi kuwa alipewa elfu hamsini, na watu ambao sasa tunawafatilia ili kujua zaidi kilicho nyuma ya pazia.
Suala hili linaonyesha limeingiliwa na vita ya kisiasa, hasa likilenga kukosoa kauli ya Magufuli!
Katika mahojiano niliyofanya nae kitaalamu zaidi kijana ni mvuvi wa pale feri na tenda hiyo alipewa tangu jana, anazidi kuweka wazi kuwa watu waliompa kazi hiyo walikuwa wawili wakitumia gari plado nyeusi na walivaa mmoja shati jeupe,na mwingine hakumbuki vema!
Kulingana na maelezo yake nimeamua kumtoa mahabusu kwa kutumia oda ya kiwanausalama na sasa nimempa laki moja kwa maelezo kuwa nampongeza kwa ujasiri wa kuvuka bahari, lakini lengo langu anisaidie kujua nani zaidi walimtuma na lengo lao zaidi ya kupinga nauli kingine nini?? Nimemrudisha mpaka feri lakini ktk mazingira ambayo hajui kuwa mimi ni mmoja ya waliyomchukua pale kigambo feri!
Nahisi lipo kubwa zaidi ya nauli, nalo ni vita ya wanasiasa wabunge na waziri magufuli!
Subirini nitawajuza!
Imeniwia vigumu sana kuamini, lakini nipo jaribu kumhoji akanimbia kuwa alikosa nauli ya shilingi 200 akaona bora apige mbizi kama agizo la magufuli lilivyo semwa!
Kutokana na taratibu za kiusalama imebidi tumchukue kwenda nae makao makuu kwa mahojiano zaidi!
UPDATES:
Uchunguzi wa awali umebainisha kuwa kijana alitumwa na wapinga nauli mpya, kijana kabainisha wazi kuwa alipewa elfu hamsini, na watu ambao sasa tunawafatilia ili kujua zaidi kilicho nyuma ya pazia.
Suala hili linaonyesha limeingiliwa na vita ya kisiasa, hasa likilenga kukosoa kauli ya Magufuli!
Katika mahojiano niliyofanya nae kitaalamu zaidi kijana ni mvuvi wa pale feri na tenda hiyo alipewa tangu jana, anazidi kuweka wazi kuwa watu waliompa kazi hiyo walikuwa wawili wakitumia gari plado nyeusi na walivaa mmoja shati jeupe,na mwingine hakumbuki vema!
Kulingana na maelezo yake nimeamua kumtoa mahabusu kwa kutumia oda ya kiwanausalama na sasa nimempa laki moja kwa maelezo kuwa nampongeza kwa ujasiri wa kuvuka bahari, lakini lengo langu anisaidie kujua nani zaidi walimtuma na lengo lao zaidi ya kupinga nauli kingine nini?? Nimemrudisha mpaka feri lakini ktk mazingira ambayo hajui kuwa mimi ni mmoja ya waliyomchukua pale kigambo feri!
Nahisi lipo kubwa zaidi ya nauli, nalo ni vita ya wanasiasa wabunge na waziri magufuli!
Subirini nitawajuza!
Katika kumdhihirishia Magufuli kuwa inawezekana kijana mmoja amepiga mbizi na kuogelea kutoka Mgogoni hadi Kigamboni.
Source: Hahari ITV