Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,484
- 40,012
Moelex.. point yangu ni kuwa serikali haina tatizo lolote na kutoa maelezo yoyote ambayo watu wanataka kuyasikia. Historia ni shahidi wa hili. Naweza kutolea mifano ya maelezo ambayo wabunge wamewahi kutaka toka serikalini na wakapewa kwa furaha.