Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

Huyu kijana ni political strategist kwa kushirikiana na kundi fulani. Barua yake ililenga kushawishi wabunge kumchagua katika kamati ya Nishati na Madini. It was a planned and well calculated move kuweka mtu wao katika sector hiyo nyeti. Nadhani mnakumbuka Idelogical Weapons za Masifadi (New Habari Corporation) zilivyopaisha barua hiyo siku chache zilizopita. January hawezi kuwa na utaofauti na Babayake, Lowassa, RA na JK. Subiri mda si mrefu mtaona.

Kumbuka katika bunge lililopita Wizara Ya Nishati na Madini ikiongozwa na W. Sherukindo ilikuwa mwiba sana kwa serikali hasa katika hoja ya Richmond.
Wow, i like this analysis... ndio raha ya JF; lakini kimoja tuelewe siri zozote za adui yako zikiwa hadharani basi wewe zishangilie hata kama yeye alikua anatafuta sifa
 
Wana JF tuisome barua ya Mh. Januari Makamba kuhusu tatizo la umeme nchini. Naona anataka kufunua uozo katika shirika la umeme na serikali.Samahani kama imeshapita humu jamvini. Naona hii ni dalili ya mwanzo mzuri kwa Kijana Januari pamoja na kwamba sasa hivi amekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Nishati na Madini.View attachment 22669

Huyu kijana ni political strategist kwa kushirikiana na kundi la mafisadi. Barua yake ililenga kushawishi wabunge kumchagua katika kamati ya Nishati na Madini. It was a planned and well calculated move kuweka mtu wao katika sector hiyo nyeti. Nadhani mnakumbuka Idelogical Weapons za Masifadi (New Habari Corporation) zilivyopaisha barua hiyo siku chache zilizopita. January hawezi kuwa na utaofauti na Babayake, Lowassa, RA na JK. Subiri mda si mrefu mtaona.

Kumbuka katika bunge lililopita Wizara Ya Nishati na Madini ikiongozwa na W. Sherukindo ilikuwa mwiba sana kwa serikali hasa katika hoja ya Richmond.
 
Mdogo wangu January Makamba

Nimesoma barua yako ya tarehe 3 februayr uliyomuandikia kilaza Ngeleja... Kama hata baada ya kuisoma barus hiyo bado JK atamuacha NGeleja wizara ile, then nitaamini kuna nguvu kali kuliko za shetani na malaika combined zilizoizunguka serikali yetu; na tungezitumia hizo kuleta maendeleo basi tungekua zaidi ya wachina

Sometimes we change faces for the sake of it; and for this i think William Ngeleja needs just kick to remind people that one can make deicisions

Mchezo wa kuigiza huo, kama ule wa vvccm. We tulia tu uone. Usiwaamini hawa watu unless kama nawe upo ndani yao unatu-blackmail tu hapa!
 
Mkeshaji... hata kama siwaamini, bado ninawashukuru kwa ku-share hiyo sentiments kwani ina inside information
 
Wana JF tuisome barua ya Mh. Januari Makamba kuhusu tatizo la umeme nchini. Naona anataka kufunua uozo katika shirika la umeme na serikali.Samahani kama imeshapita humu jamvini. Naona hii ni dalili ya mwanzo mzuri kwa Kijana Januari pamoja na kwamba sasa hivi amekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Nishati na Madini.View attachment 22669

Huyu dogo hana jipya zaidi ya kufunika kwa nguvu hoja upinzani hasa David Kafulila.
 
Huyo january na ukoo wake wote wa CCM ni craps.hiyo barua mie sijaisoma lakini wanavyonichefua mpaka naona shida kuwasoma

Read the letter first and comment!Sio kila siku mtu anakuwa na crap ideas.If the letter is legit,then he is 100% right!Hate him or love him,he is right on this one.
 
mods nimeona thread nyingine, naomba mtusaidie kuunganisha, samahani nilikua mzembe sikusoma
 
Huyo january na ukoo wake wote wa CCM ni craps.hiyo barua mie sijaisoma lakini wanavyonichefua mpaka naona shida kuwasoma
Mnyonge munyonge lakini haki yake umpe; na hivyo kwa hili la barua ya January Makamba, Mbunge huyo kijana anastahiri sifa. Haijawahi kutokea kwa mbunge wa CCM kuibua visa vinavyoonyesha moja kwa moja hujuma zinazofanywa na serikali yenyewe kwa nchi inayoiongoza. Chukua huu mfano wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia mafuta mazito, unaosemekana kununuliwa hivi majuzi na kupelekwa Mwanza; kama hii siyo hujuma ni nini! Kama ule wa mwanzoni tulishindwa kuuendesha, na tukaishia kulipa shs.20 bilioni bila ya kupata huduma yeyote ni sababu hipi inayotufanya kurudia kosa hilo hilo.
 
Kimsingi katika barua hii kuna kilaza anadhihirisha kwa kilaza mwezie kwamba yeye yuko juu yako.... KAmzidi kidogo ukilaza.... Mwisho wa siku wote ni vilaza. Anaona sasa hv alivyokuwa beneath na JK na Ngeleja in the same Ministry mbona hakuona hayo?
 
Amna lolote longolongo tupu tunae mwanakijiji na kundi lake tukitaka habari za ndani hila uwezo wao unaishia JF na kwenye magezeti. Hawa viongozi wanafiki hawa stahili pongezi zozote we are in the know already through JF be it in small details.

Sasa wao (viongozi) badala ya kurudia tunachokijua au kutu habarisha zaidi. Kama kweli wanachukizwa waende sehemu zinazohusika kupeleka malalamiko au waombe vitu muhimu vyenye kuleta mabadiliko ya kuzuia hivi vitu kujirudia. Lakini sio cheap popularity kama hizi yet nothing is done at the end; worse a repeat of the same trick.

Lazima tuanze kuangalia wapiga makelele kwa kutaka misifa na wanasiasa wa kesho wanaotaka mambadiliko, so far huyu bado hana calibre ya kusema future leader, labda kama anataka kutuambia huu ndio mwanzo lakini hili suala lazima lifike mahakamani na ngedere (ngeleja afukuzwe kazi) vinginevyo asituzingue bana.
 
Nimeisoma hiyo barua. Kama ngeleja akiweza kuijibu bila usanii basi kazi hana. Ila najua kuna chenga ya mwili inakuja. Jamani isomeni msihukumu kwanza.bila kuisoma na kuielewa.sebene limefikia chorus.
 
Soma kwanza hiyo barua, I think ameongea mambo ya muhimu sasa, nasubiri majibu ya huyo bwana waziri
 
Read the letter first and comment!Sio kila siku mtu anakuwa na crap ideas.If the letter is legit,then he is 100% right!Hate him or love him,he is right on this one.


Nitaamini dogo ana interest za nchi na wananchi kama kamati yake itazuia malipo ya Dowans.

Januari Makamba, kipimo chako ni kuzuia malipo ya Dowans!
 
Nawasalimu woote kwa pamoja,

Hiyo hapo chini ndio barua alioandika Mh. Januari Makamba kwenda kwa Mh. Waziri wa Nishati na Madini, Mh. Ngeleja.

Hii barua nimeipenda sana. Endapo Mh. Ngeleja ataweza kujibu hizo hoja zolizopo ndani ya hii barua kwa ukweli na sio kujibu kisiasa atakua amekata kiu au kutoa picha nzuri sana ya Serikali hii ya Kikwete pamoja na ahadi zake zisizotekelezeka...!

Bravo Januari.

View attachment 22735
 
Ni matumaini yangu na watanzania kwa ujumla Waziri mwenye dhamana atajibu kwa ufasaha na kutujuza lini tatizo la umeme litaisha maana hili ni janga la taifa na umekuwa kama ugonjwa sugu.
 
Back
Top Bottom