VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi-CCM. Nimesoma naye Sekondari ya Upili. Tulikuwa tukizungumzia siasa za Tanzania kujua tulipo na tunakoelekea. Mjumbe huyu wa CC anasema kuwa kauli za Wazanzibari za kutaka kujitenga na kuvunja Muungano zinakera na kutia kinyaa.
'Kila siku tunapeana taarifa juu ya kauli hizi. Mwenyekiti anajua vyema.Hata yeye anajiandaa kuwaacha waende. Ni wasumbufu sana' alisema mjumbe huyo ambaye anatokea Kanda ya Ziwa. ' Ni heri tuuvunje Muungano ili tuepushe mengine' aliongeza Mnazi huyo wa CCM.
'Kila siku tunapeana taarifa juu ya kauli hizi. Mwenyekiti anajua vyema.Hata yeye anajiandaa kuwaacha waende. Ni wasumbufu sana' alisema mjumbe huyo ambaye anatokea Kanda ya Ziwa. ' Ni heri tuuvunje Muungano ili tuepushe mengine' aliongeza Mnazi huyo wa CCM.