ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Siku zote anayekupenda anakuambia ukweli, sasa sisi chadema tunataka tu tupate sifa tusikosolewe wala kupewa ushauri hata kama kwa maufaa yetu!hii sio sahihi mjomba. alosema huyu jamaa ni la maana sana, je kama jamaa ni mamluki mwisho wa siku nani ataumia? au kwa vile ccm hawafanyi assessment na chadema wasifanye? think big broda
Baba humrudi mtoto ampendaye kwa fimbo. Baadhi ya CDM washabiki, hawataki kusikia ikikosolewa, wenyewe wanataka kila siku mazuri tu. DUNIA HAIENDI HIVYO, KUNA KUPANDA NA KUSHUKA PIA. na siku zote akupendaye hakupaki mafuta kwa mgongo wa chupa