Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
Bila shaka wana mvuto wa bangi iliyochakachuliwa kwa kinye......
Bora bangi ambayo majani yake ni mboga.
Bila shaka wana mvuto wa bangi iliyochakachuliwa kwa kinye......
jamani huyu mahanya sindo kamaliza chuo cha saut mwaka jana?na vipi post ya ualimu kaitema?na je huo ukigogo kaupata lini?Jamani kuweni makini na huyu mtu chuoni alikuwa hakitumiwa na mapadri kama puppet wao leo yasije kuwa katumwa na ccm kuvuruga chama yangu macho.
viongozi karibu wote wa Chadema walihama toka CCM na wanaimarisha upinzani nchini na Ndg Edward ni miongoni mwao
Hongera sana kwa uamuzi wa busara
Bora bangi ambayo majani yake ni mboga.
Mjumbe wa mkutano mkuu wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mahanya Edward (35 yrs) amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Edward alikabidhi kadi yake ya CCM kwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Kigoma Kusini Shaban Madele. Edward ametaja sababu ya kujiunga na CHADEMA kuwa ni kutokana na chama hicho kuwa na msimamo thabiti wa kuwapelekea wananchi maendeleo na ndicho chama ambacho kwa sasa wananchi wanakitaka.
Pia alitaja sababu nyingine kuwa ni CCM kupoteza mwelekeo na kukumbatia vitendo vya rushwa.
Source: Nipashe uk. 8
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
viona mbali wanajua nani atachukua nchi 2015.....
ccm wanafanya hiyo character assessment?
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
Siku zote anayekupenda anakuambia ukweli, sasa sisi chadema tunataka tu tupate sifa tusikosolewe wala kupewa ushauri hata kama kwa maufaa yetu!hii sio sahihi mjomba. alosema huyu jamaa ni la maana sana, je kama jamaa ni mamluki mwisho wa siku nani ataumia? au kwa vile ccm hawafanyi assessment na chadema wasifanye? think big broda