thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,797
- 4,688
lazima uwe na sababu ya kuamini Mungu na ndio maana kunakuwa na mafundisho. kama umeshikilia mungu yupo shikilia msimamo wako huku ukiwa na sababu kwa nini unaamini uwepo wa mungu kuliko kutoa satement kama hiyo ambayo umeitoa hapo.Bora uamini mungu yupo alafu usimkute kuliko kuamni hakuna mungu alafu ukamkute hapo ndipo utakapoishiwa pozi