Kifo hakipangwi na Mungu

Tatizo kama human being waeza sababisha maafa mbeleni like people kwenye hizo Story za dini.. so you have to stand for yourself not kizazi chako kijacho au kilichopo... i hope your christian so beba mzigo wako mwenyewe... as your bible said... when unapopotosha mwingine just like Jesus alivyowaambieni Kipofu kumuongoza kipofu mwenzie wote hutumbukia Shimoni....
Kwamba mwanangu nimwambie Mungu hayapo au?
 
Kwamba mwanangu nimwambie Mungu hayapo au?
Madam mwalimu mfundushe mtoto wako uanvyoamini akikua atachanganua mwenyewe.hapa mtaangaishana mwisho wa siku hakuna atakayekubali kushindwa. lakini ni vizuri pia kujfunza na kujua kile ambacho wenzako hawaamini kile ambacho unaamini wewe itakusaidia kutafuta elimu zaidi na kujua vitu vingi.
 
Kwamba mwanangu nimwambie Mungu hayapo au?
Mwambie hapo mwanzo Binadamu alimuumba Mungu na Matatizo yakaanza...

The fact ni hivi kila Jamaa inapoishi na kujiona ipo peke yake huogopa so hudhania kuna aliyewaweka hapo so hubuni chochote kile wanachoona kipo tofauti sana na kingine na hukipa cheo kikuu kwa ambacho ndio Mungu so Mungu Huumbwa na Binadamu wenyewe.... ukizunguka Dunia nzima na hata hapa kwetu Tanzania utakuta watu na tamaduni zao za Miungu yao but walipokuja wamissionary wa dini za Isram na Christian na Yahudi zikawapagawisha watu kwani jamaa waliweka kuziponda sehemu za ibada za Waafrica na kusema Miungu yao ndio Master maana Mungu wa kila jamii ndie anashindanishwe aonekane ni Bora na wa ukweli sababu Mungu kwa imani za kale zote kila jamii waliamini Mungu wa Jamii nyingine ni Mungu wa Uongo... sasa hawa waliolta dini Africa waliweza kumaliza kabisa miungu ya Africa japo bado watu wakizidiwa huenda Tambika kwaniwaliamini wazee waliokufa wana mawasiliano na Mungu wao na hao wazee sababu walikuwa ni Binadamu mwanzo so wanawasikia wanaokuja na maombi yao eithe magonjwa Njaa Mvua mikosi n.k huamini na wanafanikiwa...

Sasa Christian wapo kwenye fighting kuhusu who is God ila wanafunika funika tu but hadi leo hawana ukweli about God kuwa ni Yesu au Mungu wa Wayahudi ambaye hata Yesu ni Mungu wake sasa ili uwe mfuasi wa Mungu wa wayahudi lazima ufuate Matakwa yake ambayo ni Dini ya Wayahudi pekee ndio wanatimiliza ambapo Christian wana Practice zao Most ni za kutungwa na Tawala za Roman enzi zile so wameweza potosha vizazi na vizazi lakini wayahudi wamebaki na watabakia na Mungu wao at the last kwa Muonekano wao... na Muslim wameshindana na Wayahudi kuhusu Mungu na Practice japo percent nyingi wanatimiliza ila na wao wapo on rwong direction they hae to sit together and fix it instead fighting bila kustop...

Kama unaamii bible imeeandika ole wao wabadilishao neno... Njia ni nyembemba na watakaopita ni wachache...

Kunahitajika wataalam wa Dini na history wakae sawa ili waliopotoshwa wajielewe wanakoelekea maana ni sawa na kusoma kwenye chuo kisichosajiliwa hutopata Cheti.... kisa Mzazi ndio uwezo wake kakusomesha hapo na wewe wafahamu you have to make a good Choise....
 
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.

Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.

Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
Who is the fucken god?????????
 
Mwambie hapo mwanzo Binadamu alimuumba Mungu na Matatizo yakaanza...

The fact ni hivi kila Jamaa inapoishi na kujiona ipo peke yake huogopa so hudhania kuna aliyewaweka hapo so hubuni chochote kile wanachoona kipo tofauti sana na kingine na hukipa cheo kikuu kwa ambacho ndio Mungu so Mungu Huumbwa na Binadamu wenyewe.... ukizunguka Dunia nzima na hata hapa kwetu Tanzania utakuta watu na tamaduni zao za Miungu yao but walipokuja wamissionary wa dini za Isram na Christian na Yahudi zikawapagawisha watu kwani jamaa waliweka kuziponda sehemu za ibada za Waafrica na kusema Miungu yao ndio Master maana Mungu wa kila jamii ndie anashindanishwe aonekane ni Bora na wa ukweli sababu Mungu kwa imani za kale zote kila jamii waliamini Mungu wa Jamii nyingine ni Mungu wa Uongo... sasa hawa waliolta dini Africa waliweza kumaliza kabisa miungu ya Africa japo bado watu wakizidiwa huenda Tambika kwaniwaliamini wazee waliokufa wana mawasiliano na Mungu wao na hao wazee sababu walikuwa ni Binadamu mwanzo so wanawasikia wanaokuja na maombi yao eithe magonjwa Njaa Mvua mikosi n.k huamini na wanafanikiwa...

Sasa Christian wapo kwenye fighting kuhusu who is God ila wanafunika funika tu but hadi leo hawana ukweli about God kuwa ni Yesu au Mungu wa Wayahudi ambaye hata Yesu ni Mungu wake sasa ili uwe mfuasi wa Mungu wa wayahudi lazima ufuate Matakwa yake ambayo ni Dini ya Wayahudi pekee ndio wanatimiliza ambapo Christian wana Practice zao Most ni za kutungwa na Tawala za Roman enzi zile so wameweza potosha vizazi na vizazi lakini wayahudi wamebaki na watabakia na Mungu wao at the last kwa Muonekano wao... na Muslim wameshindana na Wayahudi kuhusu Mungu na Practice japo percent nyingi wanatimiliza ila na wao wapo on rwong direction they hae to sit together and fix it instead fighting bila kustop...

Kama unaamii bible imeeandika ole wao wabadilishao neno... Njia ni nyembemba na watakaopita ni wachache...

Kunahitajika wataalam wa Dini na history wakae sawa ili waliopotoshwa wajielewe wanakoelekea maana ni sawa na kusoma kwenye chuo kisichosajiliwa hutopata Cheti.... kisa Mzazi ndio uwezo wake kakusomesha hapo na wewe wafahamu you have to make a good Choise....
Hicho ni unachokiamini wewe waweza warithisha kizazi chako na ninachoamini mie ndio nitakachorithisha.....
 
Uhakika ni kuwa kifo hakipangwi na Mungu kwa watu wanao mkana Mungu (atheist) wasioamini Kuwepo Kwa Mola. Nani aliyeumba viumbe. Aliyeumba ndie anae panga kifo.
 
Hicho ni unachokiamini wewe waweza warithisha kizazi chako na ninachoamini mie ndio nitakachorithisha.....
Mimi Siwezi rithisha yeyote ila nitamuambia hali halisi maana kuamini ni lazima ukielewe ili hata ukiwa unakitetea ujue unatetea nini ila wewe am sure hao utakaowarithisha hutokuwa na kuwajibu kwani utakuwa ni uongo ubunifu makadirio na ujanja unjanja so utakuwa kundi moja na wapotoshaji wakuu ulimwenguni... nashangazwa na Binadamu wa sasa wamejazwa uoga wa maneno bila ya kuwa na uwezo wa kudadisi... Hizi Dini zinaendelea kustukiwa mwishowe zitakuja baki Historia tu... Kama Miungu iliyotikisa miaka ya kale kama Isis wa Egypt Mungu wa Parsian Greek kina Apollo, Aphrodite Athena Poseidon Zeus n.k Hao walikuwa wanatisha haswa... Nadhani hawa wamisionari wasingekuja nadhani ingekuwa ni issue kuitetea Miungu Mizimu ya Africa...
 
Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.
Nashindwa kuona jinsi sentensi hizi mbili zinavyooana. It sounds as if umekwisha iona diary ya Mungu ukausoma "ukweli" kwamba Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70! Kama wewe una umri wa miaka 50 basi zidi kujidanganya kwamba bado una miaka si chini ya 20 ya kuishi. Unasema nini kuhusu ukweli ambao tuna data kwamba hii leo life expectancy katika 95% ya nchi za ulimwenguni ni chini ya miaka 70?
 
Nashindwa kuona jinsi sentensi hizi mbili zinavyooana. It sounds as if umekwisha iona diary ya Mungu ukausoma "ukweli" kwamba Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70! Kama wewe una umri wa miaka 50 basi zidi kujidanganya kwamba bado una miaka si chini ya 20 ya kuishi. Unasema nini kuhusu ukweli ambao tuna data kwamba hii leo life expectancy katika 95% ya nchi za ulimwenguni ni chini ya miaka 70?

Ni kweli mkuu data za ulimwenguni sio data za Mungu na kibaya zaidi umeamini data za ulimwenguni!. Nakushauri uangalie data za Mungu ni hiyo sentence hapo "Mungu hapangi kifo chini ya miaka sabini"
 
Hakuna hata kimoja hapo kinachothibitisha uwepo wa mungu.

Nakuuliza unajuaje kwamba mungu yupo? Unajibu ni mungu tu mwenye uwezo huo.

That is a cyclical argument.

Nakuuliza unaweza kuthibitisha mungu yupo? Kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, inakuja na conclusion kwamba ni mungu tu ndiye anayeweza kumpa binadamu oxygen.

Unajuaje kwamba ni mungu tu?
Njoo nikusalishe sala ya toba uokoke
 
Ukiamini kifo hupangwa na Mungu, utashindwa kuchukua hatua stahiki pale inapohitajika...kiufupi utakuwa careless.
Habari nzima ya kuwepo kwa mungu ina mizizi ya zama za kiza, watu walitafuta majibu ya maswali ambayo hawakuweza kuyajibu wala hawakuwa na sayansi ya kuanza kuyajibu.

Jibu la mkato likawa mungu.

Na kila watu wanavyozidi kuongeza maarifa, ndivyo mungu anavyozidi kuonekana kuwa kama hadithi ya kitoto ambayo ukiiangalia baada ya kukua inakosa mantiki.

Nashangaa watu wengi bado wanaikumbatua kama ukweli.

Badala ya kujikita sana kwenye habari za mungu, tujikite zaidi kuuliza maswali ya juelewa mambo bila kuhutaji habari za mungu.

Kuna kikatuni kimoja, kinainyesha daktari analalamika kwamba amefanya kazi kubwa sana kumsaidia mgonjwa kupona baada ya operesheni kubwa, mgonjwa kapona, kafutahi sana. Badala ya kushukuru madaktari waliompigania mpaka kapona, mgonjwa kaishia kumpa sifa zote mungu.

How unfair.

God is a myth.
 
Sitaki sala, sala ufala
Shauri balaa, kwa majalala
Nataka ghala, liso lala
Lilosheheni, halahala
Mabeseni, yaso na allah
Yenye leseni, ziso fukara
Bila deni, wingi busara
Mtozeni, bwege wawala.
Yewoomi! Ndio umeamua kuniwekea mashairi sasa
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom