habibu bakili
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 202
- 51
haitafika mwaka 2015 kabla ya chama hiki kusambaratika kwa baadhi ya wanachama influential kukihama, ntatoa sababu kadhaa..
1. sinema waliyoianzisha ya lwakatare ita 'backfire'
2. mafisadi ndio wenye nguvu ndani ya chama, na hii inawakera sana wale wanaojipambanua kama 'wasafi'
3. vita ya kupewa tiketi na chama ni kali mno, kuna baadhi wameanza kukata tamaa ya kupewa ridhaa ya chama, hivyo watajiengua na kundi kubwa la wanachama
4. kwa sasa chama hakina 'mwenyekiti', kila mtu anafanya atakacho....
1. sinema waliyoianzisha ya lwakatare ita 'backfire'
2. mafisadi ndio wenye nguvu ndani ya chama, na hii inawakera sana wale wanaojipambanua kama 'wasafi'
3. vita ya kupewa tiketi na chama ni kali mno, kuna baadhi wameanza kukata tamaa ya kupewa ridhaa ya chama, hivyo watajiengua na kundi kubwa la wanachama
4. kwa sasa chama hakina 'mwenyekiti', kila mtu anafanya atakacho....