Kibonde_clouds live, hataki mabadiliko

hivi unajua mtu kama huyu kibonde unaweza mchapa bakola mpaka basi cha msingi ni tumuepuka asije tuletea balaa wengine tuna hamu na nchi yetu iwe kwenye mfumo mzuri kwa sabubu roho zetu zinatuuma sana hasa juu ya mali za watanzania jinc zinavyoliwa
 
Poleni sana mnao teswa na Kibonde na shangaa mnapandwa na hasira sababu ya huyu Jmaa, hivi hamjui ile redio ni kwa ajili ya watu gani?mimi namsikiliza kila siku sababu napenda kuchekeshwa na jinsi anavyo jikomba na kujidhalilisha redioni, hlafu na acha hapo hapo, simchukulii kama anaongea kutu makini ambacho kitabadilisha mawazo ya wengi wenye umakini wa mambo, na hilo ndio linalo mpa chati na nadhani makampuni mengi yanaweka pesa nyingi kwmnye kipindi hicho sababu wasikirizaji ni wengi ambao kilasiku wana tegea kusikai leo Kibonde ata ongea pumba gani.
 
Huyu kijana huwa sipati shida ya kumjadili kwani uwezo wake wa kufikiri hata wazazi wake walimtabiria. Ndiyo maana walimpatia jina muafaka la KIBONDE. Msipoteze muda wa kumjadili.
 
Mimi nilimpiga barn yanguvu kwenye vyombo vyangu vyakusikilizia nyuzi,katika gari anamwaka bila kusikika nyumbani hawezi thubutu kwani ni lazima niwe nasikiliza radio zenye kuongea upeo!!huyu jamaa hayuko sawa msikilizeni mimi hakuna siku alinichefua kama siku alipomshambulia christopher mtikila kwakukejeli na kumdhihaki huyu jamaa hata familia yake nawasiwasi.
 
Katiba ni dira. Muenendo wa nchi yetu ni katiba. Tulipofika leo ni matokeo ya katiba tuliyonayo. Bila shaka tunaona machafu na madudu ya kutisha ndani ya Nchi yetu. Wananchi hawahitaji kuijua katiba ili kubadilisha ile iliyopo, bali matunda ya katiba iliyopo yanatosha kuwafanya wananchi wadai katiba mpya. Umepanda basi na linaendeshwa na dereva asiye na leseni wala uzoefu, basi linayumba ina maana utasubiri mpaka basi liingie mtaroni ndipo utakapoamini kwamba dereva hafai. Huyu Kibonde kweli ni Kibonde anafanana kabisa na jina lake.
 
mi naona tunampa umaarufu kama tutaendelea kumjadili huyu jamaa...... hamuoni mwenzie Makamba katulia???
 
mi naona tunampa umaarufu kama tutaendelea kumjadili huyu jamaa...... hamuoni mwenzie Makamba katulia???

Sioni kama kuna ubaya tukimjadili in connection with issue muhimu. Issue hapa ni katiba na si Kibonde. Hii inaonesha kuwa kuna watanzania wengi hawajui kuwa katiba ni msingi wa mambo yote Tanzania.

Kuna watanzania wengine hawajui, wanatakiwa kuelimishwa, kuna wengine mabwege na ni nyambafu, wanapenda kudanganya umma kwa manufaa yao, au wanauza utu wao kirahisi kwa kuhatarisha maslahi ya muda mrefu ya waliowengi, pamoja na wao wenyewe. So they make all of us look stupid. Kuna haja ya kuwaambia ukweli, kama hawajui wanachoongea ni vema wakae kimya.
 
Mkuu punguza hasira!kwenye issue ya katiba lazima kuwe na YES na NEY.Kibonde anayohaki kama wewe ya kupinga au kukubali.
MUHIMU:mjadala wa katiba mpya uwe official na hatimaye tufanye kura ya maoni.
Hoja hupingwa kwa hoja mfano werema anatoa mifano ya marekani na kusahau sisi ni watanzania (8hrs away)

Yes kibonde anayo haki ya kupinga lakini unapoongelea radio ile ni kwaajili ya kuwahabarisha watu haipo pale kwa ajili ya watangazaji kutoa view zao ingekuwa hivyo basi wananchi wote waruhusiwe kwenda clouds kutoa maoni yao.

Kwa kifupi tu Kibonde ni moja ya watu wanao ipotezea Cloudz wasikilizaji
 
Kibonde live, ana critisize mabadiliko ya katiba kama kaka yake werema_watu wanapata wapi power hii ya kuzungumza upumbavu? Shime watz, watu tumekaa kimya wanatuona mabwege_hivi kwann_tz hiv ni ya nan! Huyo kibonde nae mjua mimi ana nin? Anajidai nin? Ndugu zangu hapa nahasira_achen tu
Huyu jamaa ropkaropka yake atakuja jikuta anapnda The Hague kwa kuchangia vurugi na mauaji nchi hii
 
Hata maswali aliyokuwa anauliza ya kijinga eti katiba ina cover ya rangi gani, rangi ya cover ni issue?
 
Ameniacha hoi alipomuuliza marketing officer wao pale clouds anaijua rangi ya katiba ya jmt?? Na kama anaifahamu katiba sasa na udhaifu wake?!!! Kijana akampatia nondo za fasta fasta kwanini wa tz wanataka katiba akaingilia na kuua hoja za kisayansi za kijana...

Wanafanya masihara sana wale jamaa ktk jahazi, anamlaumu mwandishi eti kwa nini amefananisha katiba na kondom!! Kasahau condom niife serving na family planning kama ilivyo katiba tu.... Msomi wa wapi huyu asiyeweza kusafiri ktk fasihi !!!
 
Mkuu punguza hasira!kwenye issue ya katiba lazima kuwe na YES na NEY.Kibonde anayohaki kama wewe ya kupinga au kukubali.
MUHIMU:mjadala wa katiba mpya uwe official na hatimaye tufanye kura ya maoni.
Hoja hupingwa kwa hoja mfano werema anatoa mifano ya marekani na kusahau sisi ni watanzania (8hrs away)

Kibonde kama mtangazaji hana haki kutumia radio ya watu kufanya kampeni ya aina yoyote kwa mtizamo wake binafsi.ana haki ya kufanya hivyo tu mahali popote wakati ambapo hajavaa kofia ya utangazaji ktk kipindi.Anatuonyesha namna alivyokosa elimu na ufahamu.Regina alionekana kuwa na akili sana ktk kuchangia pointlesss za kibonde,ni aibu mtoto wa kiume kuzidiwa kifikra na regina.
 
Dawa ni kutosikiliza tu watangazaji/vipindi/redio wa kipuuzi. You are giving too much importance/prominence kumsikiliza na kuanza kumjadili. Just ignore the insignificant fools...


Zipo Redio Nyingine makini tuu na watangazaji makini tuuu......yanini kumsikiliza mpuuzi huyu pandikizi.....kazi ya kujipendekeza tuuu ........
 
Really I cannot understand why people are against the idea of having a new constitution. Why should we be governed by 1977 constitution with full of patches. I think if we need development and progress in our country, the starting point should be the mother law ( the constitution). We need to borrow a leaf from our neighbour Kenya who, as we speak, have in place a good constitution which represent the wishes, inspiration and desire of the governed.
 
Nilikuwa naipenda clouds kipindi hicho... watangazaji hasa kibonde alipoanza kuwa kanjanja
kwa maslahi ya wakubwa.

Sifa 5 zinazoua umarufu wa clouds na kibonde ni hizi hapa:

1. kibonde amekuwa ni mtu ambaye haandai hoja..anakulupuka kwa kuwa anadhani
anaongea na watoto
2. Kibonde amegeuza clouds kama sehemu ya kujisifia kwa mambo yake binafsi
ya kifamilia..wakati taaluma yake haisemi hivyo
3.tangia kipindi cha uchaguzi, kibonde alikuwa ni mtu anayeponda magezet ya
great thinker...ilikuwa ikiandikwa thread inayo critisize ccm..alikuwa haisomi
lakini ikitokea thread ya kumponda slaa siku hiyo ndiyo ilikuwa inakuwa mada
4. kuna siku kibonde alinishangaza.. kuna mtu kipindi cha uchaguzi alimtumia msg..
akadai eti anataka ai fowadi kwa Jk eti anamdhalilisha rais..je kibonde yy ni nani kwa JK

5. Joseph kusaga kuwa makini na huuyu mtu..amekuwa enemy with ur customer
kwa maana clouds kwa great thinker mvuto unapotea kwa asilimia kubwa

NA USHAURI WA BURE KWA KIBONDE...arudi shule...maana amekuwa ni mtu wa kuropoka
tu..hivi ww km IQ yako inafanya kazi...unaweza kumuuliza raia eti katiba ina rangi gani
hauoni kuwa hujui unachokifanya hapo CLOUDs:target:
 
Nimesikia Clouds TV itapatikana kwenye kingamuzi cha STAR MEDIA TANZANIA LIMITED kuanzia trh 1 sasa si ndo atapotosha watu wengi zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom