Kibonde_clouds live, hataki mabadiliko

Huyu mwehu alipaswa kuwafundisha maana ya katiba hao anaodai hawajui maana ya katiba. Hiyo radio haisikilizwi Moshi wala Arusha. Kwanza mtangazaji hapo ni Gerald Hando, kidogo Mchomvu,B12 na Fetty. Wengine makapi tupu. Ukimsikiliza yule malaya anayejiita Diva ndio utachefuka zaidi.
 
mwana ccm huyo hana jipya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,alistahili kusema vile ana mpango wa kuwa diwani kisha mea,alishawahi kutamka hilo
Wapo wana CCM wengi tu wanapenda katiba mpya... tusimhukumu kwa kuwa ni mwanaCCM bali tumhukumu kwa upumbavu wake

Kibonde ni shallow na anafanya vile kuiga some controversial wengine duniani, na wote wanachukiwa hivyohivyo lakini watu hawaachi kumsikiliza, it is his game and sadly many are falling for him

@Tunalazimika,... sipendi comments zake against wapinzani na mabadiliko lakini si lazima wote tuwe sawa
hukua na haja ya kusikiliza kipindi chake kwanza kwa sasa kimekua kibaya... kiko crowded na wameshindwa ku-blend, afadhali angebaki yeye na regina

Kibonde to me is more of an arse wiper that a hard worker
 
Kibonde ana haki kutetea katiba isibadilike kama mtanzania tusimlaumu sana.Kwa upeo wake wa akili haitajiki lawama kwa watu wenye upeo kama kibonde utahitaji kuwafundisha kwa visoda

umepiga ikulu ...kumjadili mbumbumbu na limbukeni mwenye upeo wa kibonde ni hasara kubwa.sawa hatupingi kutofautiana kimawazo bt dis dude anakera.
 
Kibonde ni ugonjwa shime wa Tanzania msiusikilize,Jamaa anamatatizo ya kimawazo tokea yupo skul.
 
Dawa ya Clolouds inachemka, Kunaissue kubwa ya UFISADI italipuka 2011. Hao wote watakua wananuka kama Mazi ya Fisi.
 
Dawa ya Clolouds inachemka, Kunaissue kubwa ya UFISADI italipuka 2011. Hao wote watakua wananuka kama Mazi ya Fisi.



If you know none you speak none, Kibonde knows none speaks too much! you can read the number now!

My prediction - for he who represents shall take action if he fails public will punish them all. Clouds starts to falls if it doesn't take remedial actions against such non-sense comments. We should reserve our comments if we know we are great fools of such Kibonde heights!
 
Great thinkers inatosha sasa,tuachane na huyu f*la anatupotezea muda tu,pia ni limbukeni TUMpotezee!
 
yani mimi ananikera mara nyingi sana. Anajifanyaga mzee wa Busara wakati ni ndumi la kuwili of the highest degree!
wataalam na wasomi wengi wanasema katiba ina matatizo, so watu wakishabikia hata kama hawaijui katiba wanafanya ivyo wakiamini wasomi hao wanachosema kina umuhimu.
yeye kibonde kama ana personal opinion na interest zake he better keep them to himself sio kutubore tu hapa. Nahisi nitaacha kusikiliza jahazi kwa sababu yake lol!
 
Leo nimemsikia huyu jamaa aitwaye Ephraem Kibonde katika kipindi cha Jahazi kinachorushwa na Radio Clouds, akiongelea juu ya suala la katiba. Kwa kweli alinikera saana jinsi anavyowaona wale wote wanaozungumzia juu ya katiba mpyaa kama vile hawajui lolote. Amemsaga saana mama mmoja alohojiwa na waandishi wa gazeti la Dar Leo alotaka serikali iigawe katiba kwa wananchi kama ambavyo inavyogawa kondomu.
Jamani watangazaji wa CLOUDS na wengine wote msitumie radio zenu kutaka kuwafunga midomo wasiongee wanachohitaji kwa mustakbali wa katiba mpyaa kwa kisingizio cha kuwa hata hiyo katiba ya zamani hawaijui. Wewe KIBONDE na wenzio mnajua fika kuwa leo hii kila mtu akiihitaji hiyo katiba nakala zilizopo madukani hazitoshi. Na pia kutoisoma au kutokuwa nayo hiyo katiba ya zamani bado si kigezo cha kunifanya nisidai katiba.
:angry::angry::angry::angry::angry::angry:

Huyu tunamsubiri the heigh kama mwenzie wa kenya.
 
Kibonde nae alitoa hoja zake kama yeye!!! Ila kuna mahali mmmmmmh nae akaingiza swala la MPYA au Ya zamani. Katiba ni katiba tuuu kwani twajua hata ikifanywaje ndio itakuwa katiba mpya tunacho taka hapa ni katiba itakyo kidhi mahitaji ya watanzanzania kwa wakati huu na ujao.

Pili alisema kuwa watanzania wengi hawaijui katiba sawa sikaktai ila akumbuke kwa hili la katiba na ndio maana hao hao watanzania ambao hawaijui katiba yao na ndio maana wanadai hiyo iliyopo ibadilishwe ili nao waijue sasa maana muda unabadilika na nyakati ndio nazo zabadilika.
 
mm sipende tena kutega sikio kipindi anachokuwepo yeye, naogopa kuhalibu siku.
 
this thread is redundant!!

your post is negligible...... JK mkurugenzi wa Clouds.... kuwa makini.... wewe ni mfanyabiashara.... achana na watu wanaotaka kutumia backbone yako kupata umaarufu kwa ku pretend...... huyu EK hna hoja hata siku moja..... kilaza wa ukweli

JF lete CV ya EK......
 
simshangai huyo jamaa..man uelewa wake uko chini mno..,msimlaumu wadau,ni mambo ya cheti tu. time will tell,wananchi wameamka na ni haki ya kila mtanzania kujua haki zao za msingi.

Hapaswi kulaumu wananchi.,ni mfumo ndo unawanyima wananchi haki zao za habari.:A S-alert1::teeth:
 
Leo nimemsikia huyu jamaa aitwaye Ephraem Kibonde katika kipindi cha Jahazi kinachorushwa na Radio Clouds, akiongelea juu ya suala la katiba. Kwa kweli alinikera saana jinsi anavyowaona wale wote wanaozungumzia juu ya katiba mpyaa kama vile hawajui lolote. Amemsaga saana mama mmoja alohojiwa na waandishi wa gazeti la Dar Leo alotaka serikali iigawe katiba kwa wananchi kama ambavyo inavyogawa kondomu.
Jamani watangazaji wa CLOUDS na wengine wote msitumie radio zenu kutaka kuwafunga midomo wasiongee wanachohitaji kwa mustakbali wa katiba mpyaa kwa kisingizio cha kuwa hata hiyo katiba ya zamani hawaijui. Wewe KIBONDE na wenzio mnajua fika kuwa leo hii kila mtu akiihitaji hiyo katiba nakala zilizopo madukani hazitoshi. Na pia kutoisoma au kutokuwa nayo hiyo katiba ya zamani bado si kigezo cha kunifanya nisidai katiba.
:angry::angry::angry::angry::angry::angry:
anayejua elimu ya kibonde anijuze
 
Sawa Kibonde. Ati waTZ hawaijui katiba yao.........SI HAIJULIKANI! waTZ wataijuaje? Ndio maana tunataka kuja na katiba tunayoijua. ITAKAYOKUWA IKIJULIKANA.

KATIBA MPYA INAWEZEKANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom