MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Kwenye kipindi cha Jahazi jioni hii, mtangazaji Ephraim Kibonde amependekeza Bia (Bariidi!) zipatiwe wafanyakazi maofisini kwa sababu zifuatazo;
1. Wafanyakazi watazidisha biidii ya kwenda kazini.
2. Mazungumzo baina ya wafanyakazi na Mabosi wao yatakuwa ya uwazi zaidi (kwani watu wakishalewa wanaongea kwa uwazi zaidi bila hofu!)
3. Malalamiko ya kuongezwa mishahara hayatakuwepo.
1. Wafanyakazi watazidisha biidii ya kwenda kazini.
2. Mazungumzo baina ya wafanyakazi na Mabosi wao yatakuwa ya uwazi zaidi (kwani watu wakishalewa wanaongea kwa uwazi zaidi bila hofu!)
3. Malalamiko ya kuongezwa mishahara hayatakuwepo.