mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Mnamwonea huyu jamaa, huyu Kibonde ni Ze Komedy wa Jioni kila siku, hivyo ukimjadili na kumjali na wewe tayari umejiunga na comedian.
mkuu jaribu kufikiri tofautimpumbavu kabisa,utajisikiaje unaenda theatra kufanyiwa operation na dr amepata kileo au unasomewa hukumu na hakimu aliye kwenye kileo,huyu jamaa anatumia nini kufikiria?he must be stupid!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mkuu jaribu kufikiri tofauti
hapa kuna point hapa.
Walatini husema en vino vertas''
ikiwa na tafsiri kwenye pombe kuna ukweli.
madaktari bingwa wengi hufanya
upasuaji vizuri wakiwa kwenye stimu.
Kwa hakimu hata ona noma kukupiga miaka
kwa maana kama wataka kumpa za kunywea tayari keshakunywa.
Na anauhakika wa kunywa daily.
Kibonde has been always the best stupid manmpumbavu kabisa,utajisikiaje unaenda theatra kufanyiwa operation na Dr amepata kileo au unasomewa hukumu na hakimu aliye kwenye kileo,huyu jamaa anatumia nini kufikiria?he must be stupid!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
KIBONDE ndioonani?????anda:
huyo jamaa nasikiaga hamnazo kwa head
Mbona Cognac, Whiskey, nk zipo maofisini kwa wakulu