dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
wanachama wa ngazi za juu wilaya ya temeke na wanachama zaidi ya 1000 wamerudisha kadi za chama kwa sababu ya kwamba CUF inazingatia maslahi ya zanzibar tu na sio Tanzania nzima. malim Seif anafanya makusudi kumaliza nguvu za Cuf bar. wamesema wanamuunga mkono Hamad Rashid. kadi zimekabidhiwa kwa Shakuwa a.k.a daia daia ambaye amejiunga CUF 23/08/1992. itv