Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Waje chdm
Chadema + CCM propaganda @work, nani asiyemfahamu mto mada..anavyolamba miguu ya HR na chadema..
wenye akili walishakupotezea..
kazi kweli kweli yaani Zanzibar CUF inapitwa hadi na CHADEMA? kweli kuwa mtetezi wa CUF unaitaji kuwa na ROHO ya NYAU
Naona chadema wanafurahi CUF kudorora as if wao wanapingana na CUF na siyo ccm? connect dots..
Mkuu punguza Valeur! Taingia lini Ritz ni CUF?
Chadema naona mpinzani wao mkubwa ni CUF baada ya kuangukia pua Uzini.
Cha kuchekesha zaidi Chadema wanasema wamepata mafanikio makubwa Zanzibar hivi kutoka kura 617 hadi kura 281 Uzini, ni mafanikio?
Kwa iyo valuer inamatatizo gani??
Usicheke sana asije akakusikia Marytina and the gang, hao hawakuwa jamaa wa CUF wala CCM! Walikuwa ni mashabiki wa Chadema na naomba usiniulize kadi za CUF walizipata wapi, hiyo ni siri ya Mhe. Hamad Rashidi! Kwanza watu wenyewe hawakai Temeke na labda walisafirishwa kwa fuso kutoka mkoa moja wa kaskazini, kaazi kweli kweli...!
mkuu nadhani hujaielewa vizuri ile post.NON sense,usiropoke tu kwani hao ITV sio machizi kuonyesha yaliyojiri Huko Temeke, Ilianzia Dar hapa kwenye Matawi ya Chechnya na Kosovo mkasema mhe. Hamad Rashid katumia hela eti Ni kikundi kidogo tu cha watu, Dodoma wakatoa tamko la kumuunga MKONO, Tanga wakafuatia, Mwanza pia, Kinondoni na Ilala, Musoma sasa Temeke na huwezi jua kesho itakuwa wapi hawa wote uwahonge pesa eti kisa kumuunga MKONO HR?! Ulimbukeni gani huo, Inamaana wote wanaotoa matamko Yao Ni malimbukeni,Mfano Mwanza wanachama zaidi ya 1000 so as Temeke, kuna mtu akadai eti wamepewa 5,000/= kila mmoja....hivi kweli buku tano ikufanye urudishe Kadi ya chama?! Tena waasisi wa chama Kama tulivyoona Temeke jana?! Let us be serious hapa, sio kupost madudu tu kisa unasapoti upande wa pili wa shilingi.
Chadema naona mpinzani wao mkubwa ni CUF baada ya kuangukia pua Uzini.
Cha kuchekesha zaidi Chadema wanasema wamepata mafanikio makubwa Zanzibar hivi kutoka kura 617 hadi kura 281 Uzini, ni mafanikio?
mkuu nadhani hujaielewa vizuri ile post.
Hata mbuyu huwa unaanza kama mchicha... Kama waliazia chini na sasa wamefika hadi upili ni dalili njema za kukua.Nini cha ajabu kusika no.3? unajua chama chako chadema kimeshika namba hiyo miaka mingapi kabla ya kwenda no.2?
Kwani Chadema waliwahi kusimamisha mgombea Uzini?hii ni mara ya kwanza lakini wameshika no.2 huoni kama ni hatua nzuri?