Khaaaaa!!!!!Jamani viacheni vibinti visome!!

Katika tamaduni za mazungumzo na maandishi, kinachotajwa mwanzo kwenye orodha ndicho kinachochukuliwa kuwa na uzito. Unaweza kukuta hicho kuwa ndio kimebeba dhima nzima ya mazungumzo au maandishi, hususan unapokiwekea na maneno ya kukuimarisha nguvu kama "Kwanza", "Awali ya yote,"

Mimi hakuna sehemu hata moja niliyosema sina tatizo



Katika jamii inayofuata utawala wa sheria kama yetu ya Tanzania, sheria za nchi ndio mwanzo wa kila kitu. Kwa hiyo uwepo wa katiba katika nchi yetu, tayari kunaipa umuhimu hoja ya uvunjaji wa sheria ukilinganisha na hoja ya "hajui kuoga" au "ananuka mkojo"
Ahsante mwalimu wangu. Nimeshiba.
 
Gaijin,uko sawa kwa mtazamo na uelewa wako.Napenda nikuambie kuwa sio kila ambacho mtu anakizungumza na kuwa kweli sio lazima awe amefanya.Pili,inasikitisha namna ulivyo na mawazo hasi kutokana na sababu nilizotaja hapo juu,badili namna ya kufikiri utaona ujumbe mzuri ulio nyuma ya thread yangu,pia pole kwa kuziumiza hisia zako inawezekana nimekukumbusha mambo ambayo uliyafanya huko nyuma na sasa unayajutia na unachagua kuwa na hasipa ili kukabiliana na majuto hayo!Pole kama nitakuwa sahihi na nitakua nimekutonesha,njia nzuri ni kusahau yaliyopita na kuanza maisha mapya!
 
Gaijin,uko sawa kwa mtazamo na uelewa wako.Napenda nikuambie kuwa sio kila ambacho mtu anakizungumza na kuwa kweli sio lazima awe amefanya.

Hilo ushalisema mara saba wa sabiini, lakini ni sawa na kutwanga maji kinuni kwa sababu hujielezi umejuaje hadi kutujia na maelezo yako kwenye thread hii

Pili,inasikitisha namna ulivyo na mawazo hasi kutokana na sababu nilizotaja hapo juu,badili namna ya kufikiri utaona ujumbe mzuri ulio nyuma ya thread yangu

Umejiuliza kuwa inawezakana anaetakiwa kubadilisha namna ya kufikiri ni wewe? Tafakari kidogo; ni sahihi kwa mtu kutetea wanawake kwa kuwadhalilisha hao hao wanawake?

pia pole kwa kuziumiza hisia zako inawezekana nimekukumbusha mambo ambayo uliyafanya huko nyuma na sasa unayajutia na unachagua kuwa na hasipa ili kukabiliana na majuto hayo!Pole kama nitakuwa sahihi na nitakua nimekutonesha,njia nzuri ni kusahau yaliyopita na kuanza maisha mapya!

Endelea kujifariji
 
Gaijin,uko sawa kwa mtazamo na uelewa wako.Napenda nikuambie kuwa sio kila ambacho mtu anakizungumza na kuwa kweli sio lazima awe amefanya.Pili,inasikitisha namna ulivyo na mawazo hasi kutokana na sababu nilizotaja hapo juu,badili namna ya kufikiri utaona ujumbe mzuri ulio nyuma ya thread yangu,pia pole kwa kuziumiza hisia zako inawezekana nimekukumbusha mambo ambayo uliyafanya huko nyuma na sasa unayajutia na unachagua kuwa na hasipa ili kukabiliana na majuto hayo!Pole kama nitakuwa sahihi na nitakua nimekutonesha,njia nzuri ni kusahau yaliyopita na kuanza maisha mapya!

Ndugu,

Nadhani wewe ndio wa kujiangalia vizuri. Thread umeiandika kwa haraka mno na nitakwambia kwa nini. Wewe umetoka ulikotoka(sijui nyumbani kwako au hotelini) na kuamua kufanya mazoezi. Ghafla unaona mtu mzima ''anamtoa''(sijui anamtoa kwenye nini geti au kopo) binti mdogo kama ''anamsindikiza'' kurudi ''kwao''. Haraka ukajenga imani kuwa atakuwa amelala nae. Hili ni kosa kubwa la kuhukumu unless unataarifa zaidi ambazo hujaziweka kwenye thread yako. Vipi kama hao ni mtu na mzazi au ndugu yake? Kwani kusindikiza mtu mpaka kuwe na uhusiano wa kimapenzi?

Madhara ya thread yako ni kuwa wachangiaji wenye haraka za kujibu tayari wanamshambulia huyo ''binti'' na hata wazazi wake pasi na lazima. Hebu jaribu kuiweka vizuri thread yako.
 
COMARADERIE,nilisema "inaonekana anakasindikiza kwao" wewe umeelewa nini hapo?Suala la kunuka mkojo,uchafu ni suala umri na uzoefu wa maisha,huwezi kuwa msafi(kuusafisha mwili wako ipasavyo)bila kukua na kujifunza ambako kunahitaji muda,kujua haya sio mpaka uwe umejiingiza kwenye vijendo hivyo!
 
Gaijin,hebu niambie,kusema kunuka mkojo ni kudhalilisha?Kusema ni wachafu ni kudhalilisha?Kusema hawajui mapenzi ni kudhalilisha?Ni lazima kuna kitu kwenye akili yako kinakusumbua kama uko serious!
 
Ndugu,

Nadhani wewe ndio wa kujiangalia vizuri. Thread umeiandika kwa haraka mno na nitakwambia kwa nini. Wewe umetoka ulikotoka(sijui nyumbani kwako au hotelini) na kuamua kufanya mazoezi. Ghafla unaona mtu mzima ''anamtoa''(sijui anamtoa kwenye nini geti au kopo) binti mdogo kama ''anamsindikiza'' kurudi ''kwao''. Haraka ukajenga imani kuwa atakuwa amelala nae. Hili ni kosa kubwa la kuhukumu unless unataarifa zaidi ambazo hujaziweka kwenye thread yako. Vipi kama hao ni mtu na mzazi au ndugu yake? Kwani kusindikiza mtu mpaka kuwe na uhusiano wa kimapenzi?

Madhara ya thread yako ni kuwa wachangiaji wenye haraka za kujibu tayari wanamshambulia huyo ''binti'' na hata wazazi wake pasi na lazima. Hebu jaribu kuiweka vizuri thread yako.

Mkuu niliwahi kuwa na dada yangu hotelini tunakula akaja jamaa yangu baada ya kunisalimia akamgeukia sista na kumwambia hali yako shemeji-nilitamani ardhi ipasuke niingie!!!
 
Kazi ya uzazi ni ngumu sana jamani.... As parents we try our best hoping kua wanetu wanakua katika maadili bora (atleast most of us do) BUT kitu kimoja I know from experience..... Wazazi ni watu wa mwisho kujua tabia mbovu za mtoto wao.... Kama mzazi mtoto akiingia kulala ana umri wa miaka 13, hivi kweli unaweza ukawa na wazo atatoka usiku? sio rahisi.....

Dada gud mrng!...Kama mzazi anashindwa kujua tabia ya mwanae hafai kuitwa mzazi!
 
Mkuu niliwahi kuwa na dada yangu hotelini tunakula akaja jamaa yangu baada ya kunisalimia akamgeukia sista na kumwambia hali yako shemeji-nilitamani ardhi ipasuke niingie!!!

Ndio silka moja na huyu Eiyer. Akiona mwanamme na mwanamke akili yake inarukia ngono tu
 
kule kwetu tuna msemo ambao naomba niuandike kwa kiswahili japo si fasaha.....mfukuze chui, mfukuze na mbuzi pia.... simply ni kwamba usilaumu huyo jamaa tu mlaumu na huyu binti pia...mimi ni mwalimu kitaaluma na nimefundisha pia lakini ukweli ni kwamba watoto wetu siku hizi hawana maadili kabisa, usipokataka basi kenyewe katakutaka< nashukuru niliacha ualimu salama. Kuna haja kubwa sana ya kuwafundisha watoto wetu maadili tokea nyumbani kwetu na sio tumtegemee mwalimu pekee na wazazi hawa wengine siku hizi ndio hao wamegeuka MBWA mwitu, tumuombe sana MUNGU
 
Back
Top Bottom