Khaaaaa!!!!!Jamani viacheni vibinti visome!!

Kwanza hongera mkuu kwa kuanza siku na mazoezi. Wengi wetu tunaanza na supu na chapati kadhaa wakati tulilalia bia za kufa mtu.
Wanaume saa nyingine tuna matatizo kweli...hatuangalii vizuri usoni? Mtu mzee kabisa lakini binti anayetoka naye, mhh!
Kwani anakuwa amembaka huyo binti?
 
Aaaaarrggrh!Nimekerwa sana alfajiri ya leo baada ya kumuona jamaa mmoja nikiwa nafanya mazoezi akikatoa kabinti kadogo sana kukasindikiza kwao,inaonekana alilala nako.Hivi wanaume sisi hivi vibinti vya darasa la saba,form one,two,three na 4,vina raha gani tofauti na karaha?Kwanza havijui kuoga,vinanuka mikojo havijui mapenzi,halafu ni kinyume na sheria,nyie mnaodeal na hivi vitoto,viacheni visomeeeee!Aaaaggghhrr!!


Ni signs za mmomonyoko wa maadili! Watoto wanawadanganya wazazi wameenda kujisomea usiku, kumbe wanatoka kwa manjemba kufanya ma,bo ya aibu. Mungu tunaomba utuokolee kizazi chetu ...
 
maadili yameporomoka , wanaume waharibifu ,vibinti vinapenda kuharibiwa,wazazi wameshindwa kulea au wamezidiwa ujanja na vitoto ,kama baba yako ni sampuli ya huyo anayechukua vinuka mkojo yeye anawezaje kulea?........still alot more to come hapa duniani.
 
basi jitahidi uje ndani ya Tz eneo linaitwa buguruni kimboka hapo wapo wanaoitwa vitunguu ni wadogo hata kifuan akuna wakulaumiwa ni wazaz mkuu wameshdwa kuwapa maadili watoto wao wakiume na wakike.
km wazazi wenyewe wamekosa maadili ,watawarithisha vipi hayo maadili watoto wao?
 
Ni signs za mmomonyoko wa maadili! Watoto wanawadanganya wazazi wameenda kujisomea usiku, kumbe wanatoka kwa manjemba kufanya ma,bo ya aibu. Mungu tunaomba utuokolee kizazi chetu ...

Mungu hawezi kufanya kazi ya kazi ya kijinga kama hizi!
 
basi jitahidi uje ndani ya Tz eneo linaitwa buguruni kimboka hapo wapo wanaoitwa vitunguu ni wadogo hata kifuan akuna wakulaumiwa ni wazaz mkuu wameshdwa kuwapa maadili watoto wao wakiume na wakike.

Sijajua kama hii ni nini?
 
E bwana acha Eiyer ..kwanza nawaza katoto kangu miaka kumi na tatu kanaaga mama natoka leo sitarudi
aaaaaaaaaaaaaagh...nitakaning'iniza .

Teteteteeeee! Uzoefu wakati mwingine unatusumbua sana sisi watu wazima ambao ni wazazi. We think and take things as if they happen to us! Malezi kazi madam, acha tu!
 
So Gee,unataka kusema nini hapa?

Ninachotaka kusema ni kuwa, si yeye wala si wewe mnaojali sheria.

Umeona point ya kuwa KWANZA hajui kuoga ina umuhimu kuliko kuwa akifanyacho ni kinyume na sheria

Na maadam tunachojali zaidi ni staarehe badala ya sheria, haya mambo hayataisha leo wala kesho
 
Gaijin,sikupanga sababu kulingana na ubora wake,hayo ni mawazo yako.Pili wewe unaweza kuwa na tatizo,sababu ziko nyingi sana na za muhimu kuliko sheria mbona hujazitaja?Pia nani alikuambia kuvunja sheria ndo sababu ya muhimu kuliko zingine nilizotaja?Na kama ni ya muhimu ni kwa kipimo gani?
 
Gaijin,sikupanga sababu kulingana na ubora wake,hayo ni mawazo yako.

Katika tamaduni za mazungumzo na maandishi, kinachotajwa mwanzo kwenye orodha ndicho kinachochukuliwa kuwa na uzito. Unaweza kukuta hicho kuwa ndio kimebeba dhima nzima ya mazungumzo au maandishi, hususan unapokiwekea na maneno ya kukuimarisha nguvu kama "Kwanza", "Awali ya yote,"
Pili wewe unaweza kuwa na tatizo,sababu ziko nyingi sana na za muhimu kuliko sheria mbona hujazitaja?
Mimi hakuna sehemu hata moja niliyosema sina tatizo

Pia nani alikuambia kuvunja sheria ndo sababu ya muhimu kuliko zingine nilizotaja?Na kama ni ya muhimu ni kwa kipimo gani?

Katika jamii inayofuata utawala wa sheria kama yetu ya Tanzania, sheria za nchi ndio mwanzo wa kila kitu. Kwa hiyo uwepo wa katiba katika nchi yetu, tayari kunaipa umuhimu hoja ya uvunjaji wa sheria ukilinganisha na hoja ya "hajui kuoga" au "ananuka mkojo"
 
Back
Top Bottom