Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Bluray
No matter what is being discussed here jaribu kuepuka kuonyesha mambo yasiyoendana na unavyoji-portray humu jamvini... an intellect, bright blah blah blah... UMELIFANYIA NINI TAIFA NA WEWE?
Kwanza you are wrong to think that I am trying to portray myself as an "intellect" (how can I be "an intellect" beats me)
Pili, mimi siamini katika mataifa haya artificial ambayo mostly yamekuwa defined under the Peace of Westphalia enzi za Holy Roman Empire hapo 1648. I am a citizen of the world at heart, the world is my playground, sasa kwa nini unitake niifanyie kitu Tanzania tu, my sights are set higher, how about we talk about humanity?
Scratch that, by nature I'm private and would never want to expose myself by highlighting whatever achievements I have.
SOme comments are uncalled for
That depends on who is doing the calling.
Tusikashifiane bali tuonyeshane opportunities and threats za mazingira yote mawili
Nani ni wa kusema nini ni kashfa na nini ni necessary noize?
Niko bongo huko kwenu kulinishinda lakini sijuti na siwalaumu mlio huko
ninacholaumu ni negativity
Walioanzisha negativity nani, sasa wanapata karma ndiyo mnataka peace treaty? Mimi mtu akija kajiheshimu nakuwa bonge la decent, complete with the graceful eminence and eloquent humility of a true enlightened being.
Ukija kimtaani taani nakumbuka "The Street Fighting Years" vile vile. Kwa hiyo don't blame me, blame the ones who tried to bully people just because other people are exercising their freedom of movement and human right of earning a living the way they choose.