BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
kuna hati hatimnyika kugalagazwa leo....maana 'anasumbua' sana bungeni.....na hilo jimbo 'linamezewa' mate .......
Tuheshimu hukumu kama ile iliyotolewa Arusha kwa Mhe God Bless Lema???Rufaa ya kesi ya Arusha ya Mhe Lema inaanza tarehe sita Juni 2012 tutapata ukweli wa mambo!!!Mungi.
Wewe kile kinachoifurahisha Chadema kwako ndio haki? Unatafsiri sheria za nchi kwa kutumia kichwa chako.
Tujaribu kuheshimu uhuru wa mahakama na tukubaliane na hukumu yoyote mahakama itakayotoa dhidi ya Mnyika.
Tukubaliana na hukumu yoyote!? wewe una kichwa kweliMungi.
Wewe kile kinachoifurahisha Chadema kwako ndio haki? Unatafsiri sheria za nchi kwa kutumia kichwa chako.
Tujaribu kuheshimu uhuru wa mahakama na tukubaliane na hukumu yoyote mahakama itakayotoa dhidi ya Mnyika.
Source: Gazeti la Uhuru
Wanachama wa CCM wanadai CHADEMA wamejipanga kufanya vurugu leo katika kesi ya Mnyika leo kwa kuwa wanajua watashindwa.
Hivi najiuliza, ina maana CCM wameshajua hukumu?
ritz
nimekuwa nikifuatilia posts zako na comments zako una busara sana bro.
Mnyika akishindwa itakuwa ni dhulma tu -- na matokeo yake ni kuipandisha chati Chadema maradufu. Nimeshuhudia ya kule Arusha - baada ya kuondolewa Lema, CCM ime-cease ku-exist pale Arusha -- hakuna CCM sasa hivi, ni aibu tu waliojiletea CCM.
Nadhani mliopo Arusha mmeliona hili.