Serikali kulipa mabilioni mengine kwenye kesi ya kubumba. Nani ni wanufaika wa huu ufisadi wa kalamu?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,046
49,730
Serikali imesema italipa Bilioni 260 Kwa Kampuni ya Indiana Resources kama itashindwa kwenye kesi waliyofungua kupinga hukumu ya awali.

Cha kushangaza Wakili Mkuu wa Serikali anasema kabisa kwamba kama tutashindwa, lazima tulipe na ameji commit Kwa maandishi kabisa.

Viongozi wa awamu ya 5 wameitia hasara sana Nchi hii Kwa maamuzi ya kukurupuka wakati wangeweza kujadiliana na hao wawekezaji waone jinsi ya kutatua badala ya kutumia Nguvu ambazo mwisho wa siku zinaahirisha tatizo badala ya kutatua na kuleta hasara kubwa Kwa Wananchi.

Mambo kama haya yanakera na kutia hasira sana.

My Take
Inasikitisha sana jinsi haya mapesa yanavyoliwa Kwa huu ujambazi wa kalamu.

Pamoja ya kwamba ni kesi ila inatakiwa uchunguzi ufanyike kwamba ni nani wananufaika na hii michongo na Dili za wizi wa kutumia kalamu.

=====

Serikali ya Tanzania imeridhia kwa maandishi katika Baraza la Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kulipa fidia ya Dola milioni 109 za Marekani (Sh260 bilioni) kwa kampuni ya Indiana Resources endapo itashindwa maombi ya kupinga malipo hayo.

Serikali inaomba kubatilishwa utekelezaji wa hukumu chini ya kifungu cha 50(2)(a) na (b) cha Mkataba wa ICSID ikiwasilisha hoja 15, ikipendekeza kufuta hukumu ya kulipa fidia ya kiasi hicho cha fedha.

Hukumu iliyotolewa na ICSID Julai 14, mwaka huu iliitaka Serikali ya Tanzania kulipa kiasi hicho cha fedha kwa kampuni ya madini ya Indiana Resources iliyokuwa ikimiliki leseni ya kuhodhi ardhi katika eneo la Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill, uliokuwa Wilaya ya Nachingwea.

Akizungumzia suala hilo, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Boniphace Luhende ameiambia Mwananchi Digital kuwa;

“Ukweli ni kwamba, Serikali imewasilisha maombi ya kupinga. Hii ni nafasi ya mwisho kwa Serikali kuipinga, endapo itashindwa itabidi kulipa kama ilivyoamriwa.”

Chanzo: Mwananchi
 
Mkuu usiite kesi ya kubumba, sema kesi ya kijinga. Uzembe wa kiboya sana yaani.

Waluliohusika awamu ya 5 hawakutakiwa kuwa uraiani now kuanzia juu hadi kwa balozi wa nyumba 10. Wametuletea ungese sana yaani
Inatia hasira sana.

Ni vyema Bunge likaitaka Serikali ije na orodha ya kesi zote Zenye sura ya kitapeli kama hii Ili tujue nani ni nani.
 
Serikali imesema italipa Bilioni 260 Kwa Kampuni ya Indiana Resources kama itashindwa kwenye kesi waliyofungua kupinga hukumu ya awali.

Cha kushangaza Wakili Mkuu wa Serikali anasema kabisa kwamba kama tutashindwa.lazima tulipe na ameji commit Kwa maandishi kabisa.

Viongozi wa awamu ya 5 wameitia hasara sana Nchi hii Kwa maamuzi ya kukurupuka wakati wangeweza kujadiliana na hao wawekezaji waone jinsi ya kutatua badala ya kutumia Nguvu ambazo mwisho wa siku zinaahirisha tatizo badala ya kutatua na kuleta hasara kubwa Kwa Wananchi.

Mambo kama haya yanakera na kutia hasira sana.

My Take
Inasikitisha sana jinsi haya mapesa yanavyoliwa Kwa huu ujambazi wa kalamu.

Pamoja ya kwamba ni kesi ila inatakiwa uchunguzi ufanyike kwamba ni nani wananufaika na hii michongo na Dili za wizi wa kutumia kalamu.

=====

Serikali ya Tanzania imeridhia kwa maandishi katika Baraza la Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kulipa fidia ya Dola milioni 109 za Marekani (Sh260 bilioni) kwa kampuni ya Indiana Resources endapo itashindwa maombi ya kupinga malipo hayo.

Serikali inaomba kubatilishwa utekelezaji wa hukumu chini ya kifungu cha 50(2)(a) na (b) cha Mkataba wa ICSID ikiwasilisha hoja 15, ikipendekeza kufuta hukumu ya kulipa fidia ya kiasi hicho cha fedha.

Hukumu iliyotolewa na ICSID Julai 14, mwaka huu iliitaka Serikali ya Tanzania kulipa kiasi hicho cha fedha kwa kampuni ya madini ya Indiana Resources iliyokuwa ikimiliki leseni ya kuhodhi ardhi katika eneo la Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill, uliokuwa Wilaya ya Nachingwea.

Akizungumzia suala hilo, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Boniphace Luhende ameiambia Mwananchi Digital kuwa;

“Ukweli ni kwamba, Serikali imewasilisha maombi ya kupinga. Hii ni nafasi ya mwisho kwa Serikali kuipinga, endapo itashindwa itabidi kulipa kama ilivyoamriwa.”

Chanzo: Mwananchi
Jpm ndo wakulaumu mana alikuwa Hana akili kabisaaaa. Urais ulimdondokea tu
 
Hizi ni njia za Upigaji/Ufisadi unaofanywa na Viongozi wetu

Tukumbuke hiyo Pesa itakayolipwa ni fedha za Umma, fedha za Kodi zetu kwahiyo kama zilitakiwa zikatumike kutoa mikopo kwa Vijana wetu kule Vyuoni ina maana watakosa hiyo mikopo

Mungu awasaidie Viongozi wetu kuwa na Ufahamu katika kutuongoza Wananchi wao
 
Serikali imesema italipa Bilioni 260 Kwa Kampuni ya Indiana Resources kama itashindwa kwenye kesi waliyofungua kupinga hukumu ya awali.

My Take
Inasikitisha sana jinsi haya mapesa yanavyoliwa Kwa huu ujambazi wa kalamu.

Pamoja ya kwamba ni kesi ila inatakiwa uchunguzi ufanyike kwamba ni nani wananufaika na hii michongo na Dili za wizi wa kutumia kalamu.

Chanzo: Mwananchi
Duh...! Katiba mbovu, sheria mbovu, mikataba mibovu. Leo tumetozwa zaidi ya Tsh. Bilioni 260. Kufanywa kichwa cha Mwendawazimu hadi lini?
P
 
Serikali imesema italipa Bilioni 260 Kwa Kampuni ya Indiana Resources kama itashindwa kwenye kesi waliyofungua kupinga hukumu ya awali.

Cha kushangaza Wakili Mkuu wa Serikali anasema kabisa kwamba kama tutashindwa.lazima tulipe na ameji commit Kwa maandishi kabisa.

Viongozi wa awamu ya 5 wameitia hasara sana Nchi hii Kwa maamuzi ya kukurupuka wakati wangeweza kujadiliana na hao wawekezaji waone jinsi ya kutatua badala ya kutumia Nguvu ambazo mwisho wa siku zinaahirisha tatizo badala ya kutatua na kuleta hasara kubwa Kwa Wananchi.

Mambo kama haya yanakera na kutia hasira sana.

My Take
Inasikitisha sana jinsi haya mapesa yanavyoliwa Kwa huu ujambazi wa kalamu.

Pamoja ya kwamba ni kesi ila inatakiwa uchunguzi ufanyike kwamba ni nani wananufaika na hii michongo na Dili za wizi wa kutumia kalamu.

=====

Serikali ya Tanzania imeridhia kwa maandishi katika Baraza la Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kulipa fidia ya Dola milioni 109 za Marekani (Sh260 bilioni) kwa kampuni ya Indiana Resources endapo itashindwa maombi ya kupinga malipo hayo.

Serikali inaomba kubatilishwa utekelezaji wa hukumu chini ya kifungu cha 50(2)(a) na (b) cha Mkataba wa ICSID ikiwasilisha hoja 15, ikipendekeza kufuta hukumu ya kulipa fidia ya kiasi hicho cha fedha.

Hukumu iliyotolewa na ICSID Julai 14, mwaka huu iliitaka Serikali ya Tanzania kulipa kiasi hicho cha fedha kwa kampuni ya madini ya Indiana Resources iliyokuwa ikimiliki leseni ya kuhodhi ardhi katika eneo la Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill, uliokuwa Wilaya ya Nachingwea.

Akizungumzia suala hilo, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Boniphace Luhende ameiambia Mwananchi Digital kuwa;

“Ukweli ni kwamba, Serikali imewasilisha maombi ya kupinga. Hii ni nafasi ya mwisho kwa Serikali kuipinga, endapo itashindwa itabidi kulipa kama ilivyoamriwa.”

Chanzo: Mwananchi
Hakuna kesi serikali itashinda imejaza wapiga deal na hawana wa kuwambia wala kuwakaripia!
 
Serikali imesema italipa Bilioni 260 Kwa Kampuni ya Indiana Resources kama itashindwa kwenye kesi waliyofungua kupinga hukumu ya awali.

Cha kushangaza Wakili Mkuu wa Serikali anasema kabisa kwamba kama tutashindwa.lazima tulipe na ameji commit Kwa maandishi kabisa.

Viongozi wa awamu ya 5 wameitia hasara sana Nchi hii Kwa maamuzi ya kukurupuka wakati wangeweza kujadiliana na hao wawekezaji waone jinsi ya kutatua badala ya kutumia Nguvu ambazo mwisho wa siku zinaahirisha tatizo badala ya kutatua na kuleta hasara kubwa Kwa Wananchi.

Mambo kama haya yanakera na kutia hasira sana.

My Take
Inasikitisha sana jinsi haya mapesa yanavyoliwa Kwa huu ujambazi wa kalamu.

Pamoja ya kwamba ni kesi ila inatakiwa uchunguzi ufanyike kwamba ni nani wananufaika na hii michongo na Dili za wizi wa kutumia kalamu.

=====

Serikali ya Tanzania imeridhia kwa maandishi katika Baraza la Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kulipa fidia ya Dola milioni 109 za Marekani (Sh260 bilioni) kwa kampuni ya Indiana Resources endapo itashindwa maombi ya kupinga malipo hayo.

Serikali inaomba kubatilishwa utekelezaji wa hukumu chini ya kifungu cha 50(2)(a) na (b) cha Mkataba wa ICSID ikiwasilisha hoja 15, ikipendekeza kufuta hukumu ya kulipa fidia ya kiasi hicho cha fedha.

Hukumu iliyotolewa na ICSID Julai 14, mwaka huu iliitaka Serikali ya Tanzania kulipa kiasi hicho cha fedha kwa kampuni ya madini ya Indiana Resources iliyokuwa ikimiliki leseni ya kuhodhi ardhi katika eneo la Mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill, uliokuwa Wilaya ya Nachingwea.

Akizungumzia suala hilo, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Boniphace Luhende ameiambia Mwananchi Digital kuwa;

“Ukweli ni kwamba, Serikali imewasilisha maombi ya kupinga. Hii ni nafasi ya mwisho kwa Serikali kuipinga, endapo itashindwa itabidi kulipa kama ilivyoamriwa.”

Chanzo: Mwananchi
Kwani hizo sheria alizitunga nani?siyo wabunge wa ccm na serikali yake!kwa hiyo unamtupia lawama Magu wakati huo ndiyo upuuzi wa wabunge wa ccm?kweli nimeamini nchi hii ina wajinga wengi sana
 
Back
Top Bottom