Je, vijana mmesahau hukumu ya kuchoma mali ni miaka thelathini au kifungo cha maisha jela?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Tatizo la vijana wa bodaboda ni kunywa pombe masaa yote, pombe zikifahamika kama visungura, Vijiwe ambavyo bodaboda zinapaki vijana wanakunywa pombe masaa ishirini na nne wakishushia na Mo energy.

Baada ya kushiba visungura akili za kawaida zinatoweka na sasa wanakuwa wanyama hawajali alama za barabarani, wanaendesha bodaboda kwa mbwembwe kwa kutumia mkono moja na wana overtake wapendavyo wao.

Mwaka 2019 ilitolewa hukumu mahakama ya kisutu ya kwenda jela maisha kwa vijana 8 baada ya kuchoma kituo cha polisi cha Bunju A kwa kutumia mafuta ya Petroli.

Baada ya hukumu ndani ya mahakama vijana walipiga mayowe na kugalagala chini huku familia zao na watoto nao wakipiga mayowe kwa mshindo wa vilio wa kutokuamini kama ndugu zao ndio kwaheri na mwanzo wa maisha tete kwa familia.

Bodaboda waliochoma basi la saibaba wanafahamika hapo Korogwe, Wameharibu mali za raia wasio na hatia, Wameharibu document muhimu za watu wasio na hatia waliokuwa wanasafiri na basi la Saibaba.

Tuwakumbushe vijana wa bodaboda wa hapo Korogwe na najua ni wengi na wataanza kuishi kama digidigi kwani kifungo cha miaka thelathini au maisha hakikwepeki kwao.

Yaliyotokea kwa vijana Bunju imebaki kuwa historia katika maisha yao na familia zao.

Hasira ni hasara.
 
Wamechoka kulazwa MOI kila siku kutokana na madereva wenu wa mabasi kufanya overtaking za kifala wawapo katika highways.

Barabara ni haki ya kila raia. Unapohatarisha uhai wa mwenzako jua kuwa ndugu na jamaa zake hawawezi kuchekelea.

Kisasi ni haki na ndio dawa ya kuupoza moyo wenye maumivu. Dereva wenu kashaua mwendesha bodaboda ila kutokana na uzwazwa wenu mnathamini mabati ya Saibaba kuliko uhai wa mtu .

Tayari marehemu kashaacha Yatima na Mjane ,wazazi na ndugu wanaomtegemea , Je Saibaba atalipa kiasi gani kufidia hiyo roho iliyopotea kutokana na uzembe wa dereva wake?

Tena madereva wa mabasi walivyo washenzi husema kabisa ni bora kumuua bodaboda kuliko kumjeruhi. Yaani kupoteza damu za wenzenu mnachukulia rahisi sana , sasa ni muda muafaka kuonja uchungu wa kuondokewa na mabati yenu kama ndugu wa marehemu wanavyoonja uchungu wa kuondokewa na mpendwa wao.

Jicho kwa jicho,
Jino kwa jino mpaka pale mtakapoheshimu maisha ya wenzenu kama vile mnavyoyasujudia mabati ya mabosi zenu.
 
Wamechoka kulazwa MOI kila siku kutokana na madereva wenu wa mabasi kufanya overtaking za kifala wawapo katika highways.

Barabara ni haki ya kila raia. Unapohatarisha uhai wa mwenzako jua kuwa ndugu na jamaa zake hawawezi kuchekelea.

Kisasi ni haki na ndio dawa ya kuupoza moyo wenye maumivu. Dereva wenu kashaua mwendesha bodaboda ila kutokana na uzwazwa wenu mnathamini mabati ya Saibaba kuliko uhai wa mtu .

Tayari marehemu kashaacha Yatima na Mjane ,wazazi na ndugu wanaomtegemea , Je Saibaba atalipa kiasi gani kufidia hiyo roho iliyopotea kutokana na uzembe wa dereva wake?

Tena madereva wa mabasi walivyo washenzi husema kabisa ni bora kumuua bodaboda kuliko kumjeruhi. Yaani kupoteza damu za wenzenu mnachukulia rahisi sana , sasa ni muda muafaka kuonja uchungu wa kuondokewa na mabati yenu kama ndugu wa marehemu wanavyoonja uchungu wa kuondokewa na mpendwa wao.

Jicho kwa jicho,
Jino kwa jino mpaka pale mtakapoheshimu maisha ya wenzenu kama vile mnavyoyasujudia mabati ya mabosi zenu.
Ok noted

Tunaongelea hukumu vijana watakayo kutana nayo mahakamani
 
Nasimama na bodaboda haya majamaa ya mabasi yanawachukulia poa sana sababu yanajua jamii inawachukulia kama viumbe miyeyusho, wanalazwa sana mitaroni ili kuokoa maisha yao, ungekua unakaa hii barabara ya wazo mbezi ungekua ushachoma mabasi kadha wa kadha mpaka sasa
 
nasimama na bodaboda haya majamaa ya mabasi yanawachukulia poa sana sababu yanajua jamii inawachukulia kama viumbe miyeyusho, wanalazwa sana mitaroni ili kuokoa maisha yao, ungekua unakaa hii barabara ya wazo mbezi ungekua ushachoma mabasi kadha wa kadha mpaka sasa
Naunga mkono watu wa mabasi wanadharau sana
 
Hili swala la Arson watu wanachukulia poa, adhabu yake sio mchezo

1709105533142.png
 
nasimama na bodaboda haya majamaa ya mabasi yanawachukulia poa sana sababu yanajua jamii inawachukulia kama viumbe miyeyusho, wanalazwa sana mitaroni ili kuokoa maisha yao, ungekua unakaa hii barabara ya wazo mbezi ungekua ushachoma mabasi kadha wa kadha mpaka sasa
Tupige kelele,sheria zibadilishwe.
 
Wamechoka kulazwa MOI kila siku kutokana na madereva wenu wa mabasi kufanya overtaking za kifala wawapo katika highways.

Barabara ni haki ya kila raia. Unapohatarisha uhai wa mwenzako jua kuwa ndugu na jamaa zake hawawezi kuchekelea.

Kisasi ni haki na ndio dawa ya kuupoza moyo wenye maumivu. Dereva wenu kashaua mwendesha bodaboda ila kutokana na uzwazwa wenu mnathamini mabati ya Saibaba kuliko uhai wa mtu .

Tayari marehemu kashaacha Yatima na Mjane ,wazazi na ndugu wanaomtegemea , Je Saibaba atalipa kiasi gani kufidia hiyo roho iliyopotea kutokana na uzembe wa dereva wake?

Tena madereva wa mabasi walivyo washenzi husema kabisa ni bora kumuua bodaboda kuliko kumjeruhi. Yaani kupoteza damu za wenzenu mnachukulia rahisi sana , sasa ni muda muafaka kuonja uchungu wa kuondokewa na mabati yenu kama ndugu wa marehemu wanavyoonja uchungu wa kuondokewa na mpendwa wao.

Jicho kwa jicho,
Jino kwa jino mpaka pale mtakapoheshimu maisha ya wenzenu kama vile mnavyoyasujudia mabati ya mabosi zenu.

NI KWELI KWAMBA YAWEZEKANA DREVA WA BASI ANA MAKOSA .LAKINI TUJIULIZE PIA KAMA BODABODA ALIKUWA AMEWASHA TAA? MAANA BODADA BODA ATEMBEAPO MCHANA AU USIKU LAZIMA AWASHE TAA.YAWEZEKANA DREVA WA GARI HAKUOMUONA BODA BODA
 
ukigongwa na shabiby kizembe kupambana nao kwenye sheria za nchi yetu sio kaz ndogo tena especially aliegongwa awe ni transport officer wa magurudumu mawili sometimes mob justice is the only justice ili kuleta heshima
Nimekuelewa,lakini sasa kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia,huoni MOB JUSTICE inaanza kua na changamoto,hasahasa katika utiwaji hatiani kwa wale wanaojichukulia sheria mikononi?

Bodaboda waliochoma hilo BASI,watajiteteaje pale ambapo jeshi la polisi likianza kuwasaka wale wote walioonekana kwenye picha mjongeo,wakishiriki katika uchomaji wa BASI na mali za wasafiri?
 
Wamechoka kulazwa MOI kila siku kutokana na madereva wenu wa mabasi kufanya overtaking za kifala wawapo katika highways.

Barabara ni haki ya kila raia. Unapohatarisha uhai wa mwenzako jua kuwa ndugu na jamaa zake hawawezi kuchekelea.

Kisasi ni haki na ndio dawa ya kuupoza moyo wenye maumivu. Dereva wenu kashaua mwendesha bodaboda ila kutokana na uzwazwa wenu mnathamini mabati ya Saibaba kuliko uhai wa mtu .

Tayari marehemu kashaacha Yatima na Mjane ,wazazi na ndugu wanaomtegemea , Je Saibaba atalipa kiasi gani kufidia hiyo roho iliyopotea kutokana na uzembe wa dereva wake?

Tena madereva wa mabasi walivyo washenzi husema kabisa ni bora kumuua bodaboda kuliko kumjeruhi. Yaani kupoteza damu za wenzenu mnachukulia rahisi sana , sasa ni muda muafaka kuonja uchungu wa kuondokewa na mabati yenu kama ndugu wa marehemu wanavyoonja uchungu wa kuondokewa na mpendwa wao.

Jicho kwa jicho,
Jino kwa jino mpaka pale mtakapoheshimu maisha ya wenzenu kama vile mnavyoyasujudia mabati ya mabosi zenu.
Umeandika ujinga hadi nimesikitika sana
 
Nimekuelewa,lakini sasa kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia,huoni MOB JUSTICE inaanza kua na changamoto,hasahasa katika utiwaji hatiani kwa wale wanaojichukulia sheria mikononi?
Bodaboda waliochoma hilo BASI,watajiteteaje pale ambapo jeshi la polisi likianza kuwasaka wale wote walioonekana kwenye picha mjongeo,wakishiriki katika uchomaji wa BASI na mali za wasafiri?
Mkuu sheria zetu hapa Tanzania kwa kosa la kuchoma mali ya uma ni kali sana

Ujifanye una hasira kwenda kuchoma nyumba ya mtu ,Unaishia jela mkuu maisha

Hao bodaboda watafunguliwa charge sheet ya makosa kama matano hivi

1.Kuhatarisha usalama wa nchi, raia na mali zao kwa kusababisha milipuko katika ya raia wasiokuwa na hatia

2.Kuendesha genge la mauaji kwa raia waliokuwa wanasafiri(Ugaidi)

3.uharibifu wa miundombinu ikiwemo barabara za uma

4.Kufanya mikusanyiko haramu bila kibali cha jeshi la polisi,Mnapoamua kufanya mikusanyiko lazima jeshi la polisi lipewe taarifa

5.Kujichukulia sheria mkononi kinyume na sheria ya mashtaka

6.Kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 300 kwa mmliki wa chombo husika hivyo kumfanya kukosa pesa ya kuendesha familia yake na wafanyakazi

Baada ya maswali hapo juu boda boda huwa wanaishia kuomba msamaha na watalipa taratibu gharama za gari ,Sasa hakimu ili jambo lisijirudie hovyo anawagonga kifungo cha maisha ili iwe fundisho kwa wengine
 
NI KWELI KWAMBA YAWEZEKANA DREVA WA BASI ANA MAKOSA .LAKINI TUJIULIZE PIA KAMA BODABODA ALIKUWA AMEWASHA TAA? MAANA BODADA BODA ATEMBEAPO MCHANA AU USIKU LAZIMA AWASHE TAA.YAWEZEKANA DREVA WA GARI HAKUOMUONA BODA BODA
Hivi huwa unasafiri mara kwa mara kuelekea mikoani? Unaona jinsi madereva wa njia ya kaskazini wanavyokimbiza mabasi?
 
Back
Top Bottom