waulize watu wa jimboni kwake, kwani hujui kesi zenyewe ni za kusukwa?Huyu naye! Kila siku kesi?
Sina uhakika kama ana muda wa kukaa na wananchi wake kuongelea mambo ya maendeleo
Ni shamrashamra hapa katikati ya jiji la Arusha wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo wamkisherehekea mbunge wao bwana Godbless Lema kuhusiana na ile kesi ya ubunge kuahirishwa mpaka juma3.
Nitawajuza nini kitaendelea kutokea hapa jijini Arusha.
books is lucking in his head, you cant lead in peace without your head is full of books, take example of idd amin,mussolini,and hiltilerhuyu naye! Kila siku kesi?
Sina uhakika kama ana muda wa kukaa na wananchi wake kuongelea mambo ya maendeleo
afadhali ya huyo mwenye kesi za kutafuta ukombozi. mbona haushangai jk kila siku safari anawatumikia saa ngapi watz.Huyu naye! Kila siku kesi?
Sina uhakika kama ana muda wa kukaa na wananchi wake kuongelea mambo ya maendeleo
Ni shamrashamra hapa katikati ya jiji la Arusha wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo wamkisherehekea mbunge wao bwana Godbless Lema kuhusiana na ile kesi ya ubunge kuahirishwa mpaka juma3.
Nitawajuza nini kitaendelea kutokea hapa jijini Arusha.
Huyu naye! Kila siku kesi?
Sina uhakika kama ana muda wa kukaa na wananchi wake kuongelea mambo ya maendeleo
Ukweli ni upi katika hili?
acha unafiki waweza tuambia hata bungeni hakwenda mana unasema kila siku kesi.njama za magamba kukwamisha juhudi zake.lakini hawatafanikiwa.big up lemahuyu naye! Kila siku kesi?
Sina uhakika kama ana muda wa kukaa na wananchi wake kuongelea mambo ya maendeleo
afadhali yao kuliko wewe unaehemewa usogoni na wasira na nepi..