Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Jamani wamsubpoena huyo Batilda aje aseme kama alikwazwa au kudhalilishwa?
uko mbali na hii topic. Usirudi kabisa. Buriani
Sivyo Mungi, nafuatilia kwa karibu sana kuliko unavyodhani. Naona we ndio uko mbali isije kuwa buriani kwako.
alimaliza form 4 1974 na alijiunga na jeshi 1973
?!¿!?