Kesi ya kupinga matokeo Arusha mjini inaendelea

Huu ushahidi unaonesha kama ni wa kutengenezwa na walioutengeneza nina wasiwasi hawatafaulu, kwani wahusika ladri wanavyopigwa maswali mfululizo wanajichanganya sana. Tuendelee kufuatilia.
 
Subpoena Batlida aileze mahakama amekerekajw?
Otherwise hii ni kuchezea kodi kwa tamithlia isiyo na msingi ambayo matokeo yake huenda yakawa mabaya sana
 
Dah!! kwa majibu hayo ya shahidi ni dhahiri hii ni kesi ya kutunga haina ukweli wowote, na sasa magamba wataangukia pua!!!
 
Back
Top Bottom