Tunashukuru Mkuu kwa kutupa updates kutoka mahamakani.
Kuwa fair mkuu kwenye kuripoti upande wa pili usiripoti nagative!
Ritz,mbona wewe ni mlalamishi tu muda wote?leo nimeripoti mahojiana kati ya wakili wa upande wa wadai(Musa Mkanga na wenzake)bado unalalamika,lazima utakuwa na matatizo wewe
ritz ni gamba kwenye jf
Mkubwa! Achana na vilaza humu watakuchosha bureRitz,mbona wewe ni mlalamishi tu muda wote?leo nimeripoti mahojiana kati ya wakili wa upande wa wadai(Musa Mkanga na wenzake)bado unalalamika,lazima utakuwa na matatizo wewe
Napita nitarejea baadaye.
Kesi zingine ni kupoteza muda na rasilimali fedha za wanchi bure
Mkuu JF sio mali ya Chadema ni jukwaa huru kwa vyama vyote na wale wasiokuwa na vyama...
kwa hiyo wewe ni Mwana magamba