FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Haya maandishi ya wanasheria usihangaike kusoma yoooooooote, nimesome vipengele kadhaa na kupata kujua kuwa nini wamelenga... Wanazunguuuuka kufanya reference za kesi za miaka hiyo mfano ukurasa wa 4 mpaka 14 nadhani ni reference za kesi tu, unaachana nazo... Pia kuna errors kadhaa ambazo zinatakiwa kurekebishwa, uzuri ni kuwa Tanzania mtu akiandika 'gay' badala ya 'guy' hata mahakamani wanajifanya wamemwelewa kuwa alitaka kuandika 'guy' kakosea kidogo.
Nasubiri kuona wanasheria wetu wanasemaje kuhusiana na utetezi huu
asante invesible ngoja niicheki upya