mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,770
- 4,260
Kwa ufupi ni kwamba, babu yangu katika pilikapilika za kutafuta alifanikiwa kumiliki eneo ambalo lipo jirani kabisa na barabara ya lami, baada ya kustaafu katika shughuli za kiserikali basi akaamua kuhamia kijijini ambapo alifanikiwa kununua shamba na akajenga..
kule mjini akajenga pia nyumba ya vyumba viwili baada ya ile mwanzo kuchakaa,japo hakufanikiwa kuifanyia finishing..utata ukaanzia pale ba mdogo alipokuja kumuomba babu amalizie hiyo nyumba na atakaa hapo hadi gharama alizotumia kwenye finishing ziishe ndipo ahamie kwake..bila hiyana babu akamkubalia ba mdogo na familia yake wakahamia hapo ila cha kushangaza akaanza kuongeza vyumba vingne bila makubaliano, na mwishowe amegoma kabisa kutoka hapo na anadai ni kwake,..
babu alipofariki mwaka Jana, ding mdogo amegoma kabisa eneo hilo analoishi kujumuishwa kwenye Mali za babu, kiukweli nimekuwa disappointed sana na Tabia ya unyang'anyi na dhuluma aliyoionyesha dingo mdogo..
pamoja na kuwa namiliki viwanja vyangu maeneo mbalimbali na pia nna mijengo yangu binafs nimeshindwa kumsamehe na namchukia yeye pamoja na kizaz chake kwa kitendo cha dhuluma alichofanya..
Ushauri: kama kuna MTU anataraji kuiga Tabia hii, basi jiandae na vita vikali vya kifamilia don't dare (usithubutu).
kule mjini akajenga pia nyumba ya vyumba viwili baada ya ile mwanzo kuchakaa,japo hakufanikiwa kuifanyia finishing..utata ukaanzia pale ba mdogo alipokuja kumuomba babu amalizie hiyo nyumba na atakaa hapo hadi gharama alizotumia kwenye finishing ziishe ndipo ahamie kwake..bila hiyana babu akamkubalia ba mdogo na familia yake wakahamia hapo ila cha kushangaza akaanza kuongeza vyumba vingne bila makubaliano, na mwishowe amegoma kabisa kutoka hapo na anadai ni kwake,..
babu alipofariki mwaka Jana, ding mdogo amegoma kabisa eneo hilo analoishi kujumuishwa kwenye Mali za babu, kiukweli nimekuwa disappointed sana na Tabia ya unyang'anyi na dhuluma aliyoionyesha dingo mdogo..
pamoja na kuwa namiliki viwanja vyangu maeneo mbalimbali na pia nna mijengo yangu binafs nimeshindwa kumsamehe na namchukia yeye pamoja na kizaz chake kwa kitendo cha dhuluma alichofanya..
Ushauri: kama kuna MTU anataraji kuiga Tabia hii, basi jiandae na vita vikali vya kifamilia don't dare (usithubutu).