Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

wemambowe-678x381.jpg
 
Narudia tena swali, tatizo ni kujitangaza kuwa ccm, kutumbuiza mawaziri au kuwa mbakaji aliyesamehewa, wewe mrwanda awamu ya Kikwete uliipenda sana serikali yake sababu hakuwa anapatana na Kagame au labda ulikuwa mnufaikaji.
Sasa huyu ngosha kupatana na paka kagame umekuwa na kihoro sana. Shithole mwenyewe.

..vyote.

..ni tatizo WABAKAJI kuwa wanachama wa CCM.

..ni tatizo kutumbuiza mawaziri, wabunge, na watoto, waliokuwepo kwenye shughuli ile.

..ni tatizo kwa mbakaji kuachiwa ktk mazingira haya. huwezi kuachia mbakaji halafu ukamkaribisha ikulu.

..mambo haya yanaichafua Tanzania.
 
Unadhani hao uliowataja hawakuwa na uchafu/ dhambi? Hakuna mkamilifu, tusamehe na kusahau, ili maisha yaendelee.

..R u serious?

..unajua unyama waliofanya hawa mabwana ni zaidi ya unyama wenyewe.

..umewahi kuona Jogoo akamshambulia kinyume kifaranga?

..walichokifanya Babu Seya na Papii hata wanyama hawafanyi.
 
..vyote.

..ni tatizo WABAKAJI kuwa wanachama wa CCM.

..ni tatizo kutumbuiza mawaziri, wabunge, na watoto, waliokuwepo kwenye shughuli ile.

..ni tatizo kwa mbakaji kuachiwa ktk mazingira haya. huwezi kuachia mbakaji halafu ukamkaribisha ikulu.

..mambo haya yanaichafua Tanzania.

Unafaham lakini hawa walisingiziwa hii kesi na huyo favorite past leader wako, au unadhani hayo makelele yote ya wananchi wakitaka hawa watu waachiwe ni wendawazimu. Wewe huenda ikawa ni mhamiaji hufaham vizuri story ya hawa wanamuziki na kesi yao hadi kufungiwa.
Tanzania tokea lini imeshakuwa safi kwenye macho yako tokea Magufuli aingie madarakani, unajifanya unapenda usafi wake wakati upo na interest zako.
 
Unafaham lakini hawa walisingiziwa hii kesi na huyo favorite past leader wako, au unadhani hayo makelele yote ya wananchi wakitaka hawa watu waachiwe ni wendawazimu. Wewe huenda ikawa ni mhamiaji hufaham vizuri story ya hawa wanamuziki na kesi yao hadi kufungiwa.
Tanzania tokea lini imeshakuwa safi kwenye macho yako tokea Magufuli aingie madarakani, unajifanya unapenda usafi wake wakati upo na interest zako.

..Really?

..kwenye nchi za wenzetu kuna wafungwa walikuwa kwenye "death-row," wanasubiri kunyongwa, lakini DNA evidence ikaja ku-prove hawana hatia.

..wafungwa hao waliachiwa huru, na ikaelezwa kuwa walionewa, na zaidi WALILIPWA FIDIA.

..kwa hiyo kama Babu Seya na mwanae walionewa basi muwe na ujasiri wa kuwataja wote waliohusika na dhuluma hiyo.

..vilevile serekali iwalipe FIDIA kwa kufungwa kimakosa. huko ndiyo kutenda HAKI.
 
Mtanzania ataendaje kenya kumuombea kura Kenyata? Cdm mnasahau sana huyu mamvy wenu.

..mbona Magu alienda kumpigia kampeni Odinga?

..tena bila kujali itifaki kuwa viongozi wa serekali hawatakiwi kujihusisha na siasa za ndani za mataifa mengine.
 
..mbona Magu alienda kumpigia kampeni Odinga?

..tena bila kujali itifaki kuwa viongozi wa serekali hawatakiwi kujihusisha na siasa za ndani za mataifa mengine.
Kwani wa upinzani ndo wanatakiwa kujihusisha na siasa za nchi nyingine?
 
Ushahidi wote uliopo ni kwamba ni kweli hao Nguza na wanawe walifanya huo ufirauni. Sijui sababu yao ya kufanya hivyo ilikuwa nini. Wanaharakati wa haki za watoto na za binadamu walishiriki pia kwenye hiyo kesi, na kuna mafaili ya kutisha sana. Watoto waliofanyiwa hivyo wapo na walitoa ushahidi, ambao kisheria ili kulinda haki za mtoto aliyelawitiwa na kumkinga dhidi ya unyanyapaa, haipaswi kufanywa hadharani na wala majina yao hayatolewi kwenye vyombo vya habari. Mafaili ya Muhimbili walikopimiwa hao watoto na ripoti za madaktari zipo. Yaani hii ilikuwa soo, hawakuwa na jinsi ya kukwepa.

Na huy si wa kwanza. Miaka ya mwisho ya 1980's alitokea fundi mshona nguo akiitwa Ali Maumba, alikuwa akiwafanyia watoto mchezo huohuo, na alilawiti zaidi ya 100, ila wengine wazazi wao waliwazuia wasijitokeze ili kukwepa aibu kwa familia zao. Ile kesi Maumba alihukumiwa kifungo, lakini alipokata rufaa alishinda kutokana na ushahidi "dhaifu" wa madaktari. Na ile kesi ya Maumba hadi leo inatumika kama reference ya kuwakumbusha madaktari umuhimu wa "ushahidi wa kitaaluma" (expert witness) kuandikwa vizuri. Rafiki zangu wanaharakati wamei-cite mara nyingi sana kwenye papers zao.

Hii ya kina Babu Seya, wanasheria walijaribu sana wakakosa pa kutokea. Na hata wakati wa rufaa, haikuwezekana, akaendelea kubaki hatiani.

Hizo habari za kuwasingizia kina nani sijui ni uvumi tu, kungekuwa na ukweli tungeshapata japo chembe ya ushahidi. Hao mnaowataja wakati huo hawakuwa na mamlaka yoyote dhidi ya mahakama, na hata katika kesi hakuna wakili au yeyote aliyeleta ushahidi wa kuwahusisha. Kama ni rushwa, sijui ni rushwa gani watu wangetembeza kila mahali kuanzia kwa watoto wa shule ya msingi, walimu wao, wenyeviti wa serikali za mitaa, askari polisi kwenye posts hadi kwa waendesha mashtaka, wanaharakati wa haki za watoto, mawakili, wafanyakazi wa idara za hospitali (wauguzi, watu wa records, maabara,madaktari, ili ati wote wafoji habari zinazoendana), hakimu mkazi kisutu, majaji wa mahakama kuu, majaji waheshimiwa sana wa mahakama ya rufaa, woote hao utawahonga vipi? Kazi ya ku-organize na ku-stage plot kama hii ni kubwa na haiwezi kuwa siri, lazima ziwepo flaws, hata kama ni fiction unatunga wasomaji wataona tu uongo ulipo!

Kwa hiyo sioni cha kujadili kuhusu Babu Seya na wanawe, alipata haki yake ya fair trial, akawa convicted, na sheria ikachukua mkondo wake. Akatumia pia haki yake ya appeal, nako hatukusikia malalamiko ya unfair trial, akabakia guilty as charged. Basi.
Yaani Mkuu umeongea pasipo kupepesa macho, ni ngumu sana mtu mmoja kutoa hongo kwa wote hao. Hongo kama hizo angeweza mwanadamu mmoja tu duniani na ameshakufa tayari, kulikuwa na mtu anaitwa 'Pablo Emilio Escobar Gaviria', huyu mtu alikuwa ni hatari.
 
Yaani Mkuu umeongea pasipo kupepesa macho, ni ngumu sana mtu mmoja kutoa hongo kwa wote hao. Hongo kama hizo angeweza mwanadamu mmoja tu duniani na ameshakufa tayari, kulikuwa na mtu anaitwa 'Pablo Emilio Escobar Gaviria', huyu mtu alikuwa ni hatari.
Mkwere unamjua?!

Hakuna lisilowezekana chini ya jua hasa ukiwa na pesa/beysa/money...+ Na mamlaka..

Mwenye kisu ndio aliyekosewa... ...anacheka huku anafufuta...

Watoto wote hao walawitiwe kwa foleni..na mwalim aliyekuwa anawaleta wala hakufungwa... ..

Cheza na mwenye mali ila sio mali yake...
 
Ccm ya sasa hata hao wenye kusimamia misingi ya chama wamejitenga nayo kutokana na aina ya siasa za kishamba zinazofanywa na Jpm na Chakubanga.

Huo msamaha wa hao wabakaji unaonekana ulikuwa na malengo ya kisiasa nyuma yake
Kweli Kila zama na Kitabu chake! Chakubanga kapoa sana.
 
Mkwere unamjua?!

Hakuna lisilowezekana chini ya jua hasa ukiwa na pesa/beysa/money...+ Na mamlaka..

Mwenye kisu ndio aliyekosewa... ...anacheka huku anafufuta...

Watoto wote hao walawitiwe kwa foleni..na mwalim aliyekuwa anawaleta wala hakufungwa... ..

Cheza na mwenye mali ila sio mali yake...
Ngumu sana kuamini hizo tuhuma.Yaani mdada amwache mkwere aende kwa babu seya kisa?? Amelogwa ama?

Pili hawa watoto kumi na waote walipimwa na dakatri na wote wametoa ushahidi wa aina ile ile ya ufiraumi waliofanyiwa...
 
Back
Top Bottom