tuandamane usemayo ni kweli lakini turudi nyuma kwanini mwalimu hakufungwa na yeye ni chanzo ya yote yale kama yeye alikua anawapeleka watoto kwenda kufanyiwa hicho kitendo nadhani yeye alikua ndio mtuhumiwa wa kwanza akifuatiwa na watendaji, swala mwalimu ndio kila mtu linamuweka njia panda. ingekua ni nchi nyingine ningeweza kuamini lakini Tanzania hakuna haki bwana unaweza ukapotea saa yoyote bila hatia mradi kuna mtu mkubwa kwenye hilo swala umekwisha.