Kero hii Uwanja wa Ndege JNIA

Kama ni wizi karibu kila a/port kuna hiyo shida, sijajua Dubai kama hii ni ishu. Ila kwa sehem nlizoboard in/out kuanzia OR Tambo, Gaborone, hata hapa DIA jana tu kuna jamaa kapigwa camera ya $2000 imeleta soo sana. Cha msingi zile bag zetu tuziwekee kufuli, au ikiwa una sanduku la paswed ni vyema zaidi ingawa kuna baadhi ya sehemu huwa wanayaangusha chini makusudi ili yapasuke.

All valuables ingia navyo kwa handbag maximum huwa ni 4kg..not sure

Uwizi kwepo kwenye viwanja vingi si uhalalisho basi ni kawaida hata uwanja kwetu,mi nimepitia baadhi ya uwanja,Instabul,Doha,Dubai na Cairo na pia ndo nazipitia wala si mara moja ila sijawahi ibiwa huko ni bongo tu,wataivuta zipu ya begi pembeni,mpaka upate begi imetepeta,mwezi wa pili waliniibia pale pale.Kwanza hiyo tabia ya kuomba omba ndo kero ile mbaya
 
Uwizi ni swala la hatari sana waheshimiwa wadau hilo msilumbane ila watu wachunguzwe kila mmoja awe mchunga wa mwenzake hiyo ndio suluhu na wasioneane aibu kuna watu wanaweza wakawa wanalipwa mshahara mzuri tu na akachukua kitu chenye dhamani ndogo ole wao za mwizi ni arubaini endeleeni tu iko siku wataumbuka tu.
Na kuhusu kadi za chanjo mi naona ni poa wakiwa nazo hapo airport maana ukweli zinasaidia sana hilo la kadi halina noma tunasaidiana pande zote
 
Uwizi kwepo kwenye viwanja vingi si uhalalisho basi ni kawaida hata uwanja kwetu,mi nimepitia baadhi ya uwanja,Instabul,Doha,Dubai na Cairo na pia ndo nazipitia wala si mara moja ila sijawahi ibiwa huko ni bongo tu,wataivuta zipu ya begi pembeni,mpaka upate begi imetepeta,mwezi wa pili waliniibia pale pale.Kwanza hiyo tabia ya kuomba omba ndo kero ile mbaya
Hawa jamaa hawana aibu aisee, utasikia wanavyojitahid kuwa karibu kumbe gia tu! Nadhani ni vyema kuwaambia tu, sikupi!

Mkuu Viol wizi upo sehem nyingi tu, huenda ulibahatika tu those trips. Lakini hadi huku kwa wazungu jana tu mtu kalizwa camera, pia Joberg nlishaibiwa kwenye bag yangu, walichana kbs
 
Last edited by a moderator:
Uwizi ni swala la hatari sana waheshimiwa wadau hilo msilumbane ila watu wachunguzwe kila mmoja awe mchunga wa mwenzake hiyo ndio suluhu na wasioneane aibu kuna watu wanaweza wakawa wanalipwa mshahara mzuri tu na akachukua kitu chenye dhamani ndogo ole wao za mwizi ni arubaini endeleeni tu iko siku wataumbuka tu.
Na kuhusu kadi za chanjo mi naona ni poa wakiwa nazo hapo airport maana ukweli zinasaidia sana hilo la kadi halina noma tunasaidiana pande zote

Mkuu nilitarajia pale pana Camera za security kuangalia hao Boko Haram wanaofukua vitu kwenye mabegi ya wasafiri. Wizi unafanyika ndani Kabisa begi likiingizwa kwenda kupakiwa kwenye ndege. Sasa tunajiuliza ushirikiano utakuwa mkubwa sana wa kundi la wazi hao. kuhusu kadi za chanjo, utaratibu wa Kimataifa inakupasa kweli ukachanje hii ni kwenye hospitali maalumu kwa lengo si tu la kuzia maambukizi kule uwendako (baadhi ya nchi zenye ugonjwa wa manjano au polio) Bali pia kukukinga. Sasa kama wahudumu tu wanaweza kuruhusiwa kuwa na kadi hizi na kuzilangua bila Watu kuchanjwa mnatarajia nini kama si majanga? Kumbuka kadi hizo huwa zimegonjwa mihuri wa Mamlaka husika na saini za watanzania wa manispaab(City Council Vaccination Centre).
 
Kuna passport ya nchi fulani ukifika pale wakikuona nayo hawakugusi wala kukuuliza swali lolote wala kuku sumbua hata chembe.....heshima inakuwepo kuna siku jamaa alini stop pale akaiomba passport kuiona tu akaniachiaa straight bila swali lolote.

So kama jamaaa alivyosema hapo juu inategemea wanaangalia na mtu wa kumsumbua ndio wana msumbua

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Muheshimiwa hujanielewa wanapokuwa nayo hapo airport mi naona ni sawa kabisa tena narudia ni sawa kabisa kwasababu hii chanjo ya vaccination huwa ukipigwa hadi miaka kumi sasa ndugu yangu umepata safari ya ghafla mfano unampeleka mama yako india kutibiwa wewe umetoka huko mbio umefika kiwanja cha ndege uko kwa wahusika wa maswali na majibu wana kuuliza vaccination kadi unaweza changanyikiwa tena wanakwambia sisi tutakuruhusu ukiwa huko wanakurudisha na ndege ingine nipe jibu mkuu hapo? Mshikaji anatokea pembeni oya kadi ipo pale clinic ya airport labda na sharia ya ile kadi mzee ni two weeks before ya kusafiri na wewe kadi ulikuwa nayo ila last minute hujui umeweka wapi hapo washikaji kama zari vile oya chukue hiyo ni yenu bila mkono wa kushoto kujua mi naona hiyo nipoa kabisa pande zote tumesaidiana bila shida yoyote mkuu
 
Kuhusu chanjo ya polio katika East Africa ni kenya na Uganda tu ndio wanaulizwa polio wa Tanzania ni vaccination tu na sijajua kwanini labda wabongo tu poa au tuko juu
 
Au wataalam watupe maelezo vizuri kwanini watanzia hatuulizwi kadi ya polio lakini wenzetu wengine wa East Africa wanaulizwa tena wanasumbuliwa sana swali lijibiwe kitaaluma nashukuru
 
Hizo kampuni za ulinzi binafsi hasa hiyo uloitaja wafanyakazi wake njaa hakuna mfano ila kuna mmoja nilishamtemeshaga kibarua...

Nakumbuka siku hiyo nimeenda pale CRDB mlimani brach kitoa 10mil nilikuta foleni kubwa ya first year wanahudumiwa nikamfwata nikamwambia hakuna utaratibu wa sie tusokuwa wanafunzi kuhudumiwa na dirisha letu basi akanipeleka kwenye dirisha la mastaff pale udsm lakini baada ya Huduma akawa ananizonga nimpe 50000 eti kisa nimechukua hela nyingi jamaa alinisumbua mpaka nje hakunijua vizuri basi akanitukana tusi zito alivyoona sijampa nilichofanya kumpigia boss wao alikuja pale na alishika adabu hata wafanyakazi wa benki walisema wamechoshwa na malalamiko ya Wateja dhidi yake....

hapo airpot ni balaa hivi hizi kampuni binafsi zinaokota wapi hawa watu?
 
Muheshimiwa hujanielewa wanapokuwa nayo hapo airport mi naona ni sawa kabisa tena narudia ni sawa kabisa kwasababu hii chanjo ya vaccination huwa ukipigwa hadi miaka kumi sasa ndugu yangu umepata safari ya ghafla mfano unampeleka mama yako india kutibiwa wewe umetoka huko mbio umefika kiwanja cha ndege uko kwa wahusika wa maswali na majibu wana kuuliza vaccination kadi unaweza changanyikiwa tena wanakwambia sisi tutakuruhusu ukiwa huko wanakurudisha na ndege ingine nipe jibu mkuu hapo? Mshikaji anatokea pembeni oya kadi ipo pale clinic ya airport labda na sharia ya ile kadi mzee ni two weeks before ya kusafiri na wewe kadi ulikuwa nayo ila last minute hujui umeweka wapi hapo washikaji kama zari vile oya chukue hiyo ni yenu bila mkono wa kushoto kujua mi naona hiyo nipoa kabisa pande zote tumesaidiana bila shida yoyote mkuu
Hilo sipingi ila ziwe zibatolewa na mamlaka za kisheria sio wahuni wale wanakujazia juu kwa ju kisha wanakupiga fedha ambayo Serikali haipati kitu chochote kwa nyaraka ambayo inapaswa kulipiwa Serikalini. Hii ni ukiukwaji mkubwa wa Sheria za nchi.
 
Du! Muheshimiwa hapo tupo pamoja swala la kodi kweli ni muhimu tunaipenda sana serekali yetu hii ya ikusanye kodi isaidie jamani mahospital hivi mkuu unaatarifa leo hii mtanzania mafigo ya feli yuko kijijini au mjini tu muheshimiwa hatuombia lakini ndio hali halisi anaesabu siku tu hakuna machine za dialysis hata kama zipo ni ghali mno sijui jamani hata la kusema sijui ebu nisaidieni wadau kama mpo Du! Hii ni hatari kweli kweli
 
JNIA hakuna walinzi wa group 4 kama unavyodai pia swala ka kuombwa pesa na walinzi si la kweli kwani walinzi wa JNIA hawana shida ndogo ndogo mishahara yao mizuri labda ulikutana na mfagiaji pia hayo mengine sina uhakika

Wapo wa makampuni ya ndege. Kila kampuni ya ndege ina walinzi wake ambao huwa na jukumu la kulinda pale abiria wa ndege yao wanapocheki na kulinda nje zinapopark nyakati za usiku.
 
Muheshimiwa hujanielewa wanapokuwa nayo hapo airport mi naona ni sawa kabisa tena narudia ni sawa kabisa kwasababu hii chanjo ya vaccination huwa ukipigwa hadi miaka kumi sasa ndugu yangu umepata safari ya ghafla mfano unampeleka mama yako india kutibiwa wewe umetoka huko mbio umefika kiwanja cha ndege uko kwa wahusika wa maswali na majibu wana kuuliza vaccination kadi unaweza changanyikiwa tena wanakwambia sisi tutakuruhusu ukiwa huko wanakurudisha na ndege ingine nipe jibu mkuu hapo? Mshikaji anatokea pembeni oya kadi ipo pale clinic ya airport labda na sharia ya ile kadi mzee ni two weeks before ya kusafiri na wewe kadi ulikuwa nayo ila last minute hujui umeweka wapi hapo washikaji kama zari vile oya chukue hiyo ni yenu bila mkono wa kushoto kujua mi naona hiyo nipoa kabisa pande zote tumesaidiana bila shida yoyote mkuu

.....kama fikra ndio hizi walizonazo wengi wetu....."hii hatari".......huo hapo juu ni UZEMBE WA HALI YA JUU....tena mtu anautetea....duuh

Hilo sipingi ila ziwe zibatolewa na mamlaka za kisheria sio wahuni wale wanakujazia juu kwa ju kisha wanakupiga fedha ambayo Serikali haipati kitu chochote kwa nyaraka ambayo inapaswa kulipiwa Serikalini. Hii ni ukiukwaji mkubwa wa Sheria za nchi.

Mkuu Ngoshwe....naona ume-give-up kirahisi mno mno......yaani ulianza vema......sasa unaunga mkono UZEMBE!!!
 
Hakuna group 4 pale ila kuna wafanyakazi wa Tanzania airports authority (mamlaka ya viwanja vya ndege), pia kuna watu wa immigration, tra na usalama wa taifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom