Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,021
- 94,073
Hivi ninavyoandika abiria wa ndege za ATCL kwenda Arusha, Bujumbura, Dodoma wapo stranded Terminal II ya JKNIA kwa sababu ya kutokuwepo kwa ndege zinazoenda maeneo hayo...
Taarifa zisizo rasmi toka kwa wafanyakazi wachache waliopo hapa wanatoa excuse sijui **** shida kwenye runway lakini ndege za PW zinaondoka vizuri tu kwani abiria wake wanaitwa kwenda ku-board (mathalani PW ya BKB kupitia MWZ)...
Ndege ya Arusha imesogezwa hadi saa 10 alasiri toka saa 7 mchana, ya Dodoma imesogezwa mnele hadi saa 4 usiku toka alasiri hii, na Bujumbura nayo imesogezwa usiku huko...
Ajabu ni kwamba hakuna meneja, wala mfanyakazi yeyote ngazi ya juu aliyepo uwanjani kutoa taarifa yeyote au kufanya mchakato wa kufaulisha wasafiri kwenye mashirika mengine ambayo yanaweza yakawa yanaenda maeneo tajwa.
Taarifa zisizo rasmi toka kwa wafanyakazi wachache waliopo hapa wanatoa excuse sijui **** shida kwenye runway lakini ndege za PW zinaondoka vizuri tu kwani abiria wake wanaitwa kwenda ku-board (mathalani PW ya BKB kupitia MWZ)...
Ndege ya Arusha imesogezwa hadi saa 10 alasiri toka saa 7 mchana, ya Dodoma imesogezwa mnele hadi saa 4 usiku toka alasiri hii, na Bujumbura nayo imesogezwa usiku huko...
Ajabu ni kwamba hakuna meneja, wala mfanyakazi yeyote ngazi ya juu aliyepo uwanjani kutoa taarifa yeyote au kufanya mchakato wa kufaulisha wasafiri kwenye mashirika mengine ambayo yanaweza yakawa yanaenda maeneo tajwa.