ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
kwa watanzania wen zangu ambao mmewahi kutumia Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Jijini Dar es Salaam kwa safari za nje labda mmewahi kukutana na Kero hizi: Ukiwa una safari usiku, pale kuna wahudumu na walinzi ambao ni Kero sana...Hivi karibuni nilikumbana na kijana amelewa yupo karibu na eneo la kucheck in abiria ndani akanibana "ooh bro. lazima unitoe hata na dola 10 mdogo wako, ninyi wenzetu mnasafiri sana".
Siku si nyingi wakati nasafiri tena kuna walinzi wa Kampuni binafsi Group 4 nadhani naona Mara zote huwa ni wale wale tu hawabadilishwi...wawili wakanibana, kaka haiwezi kutuacha. Hivi Hivi...Nilipofika juu eneo la kusubiria ndege nikakuta kuna msafiri amebanwa na wale walinzi wanao clear passport kabla hujaingia eneo la ku board ndege. Abiria huyo alikuwa na kadi ya chanjo (yellow fever) ambayo juu yake haikuwa na jina wala passport namba yake. walimbabatiza kuwa hiyo kadi si halali na kuwa wao wamekuwa wakipokea kesi Nyingi tu za watanzania kurejeshwa Afrika ya Kusini kutokana na kuwa na kadi feki. Jamaa waliotoa kama 20 Hivi wakamtengenezea kadi nyingine hapo hapo. Nilidhani ni suala geni hili lam kupata kadi ya chanjo hapo...Juzi wakati naelekea tena Afrika ya Kusini, Jamaa wakanibana, " mzee kadi yako Ike expiry, imechkaa,imechanika"...Nikasema sina nyingine ni hiyo hiyo na nimekuwa nasafiri na hiyo hiyo muda wote tokea 2006.
Jamaa wakadai haiwezekani kuniruhusu, nikawauliza sasa inakuwaje?..wakaniambia kama una Tshs. 30,0000 unapata faster....wakanielekeza kwa mmoja wao ambae alikuwa amezishika kadi nyingine mkononi. Nikawwambia ninyi sio mamlaka ya ku clear taaraifa za chanjo za ndui. Cha kushangaza nilipokomaa nikaruhusiwa, nikapata Boarding pass na kwenda ku board...
siku hiyo nilikuwa na Perfume kwenye begi yangu. Nilipofika sikuikuta na begi lilikuwa halijafunguliwa ila mmoja ya zip ilkuwa imevutwa upande.
kuna kero zaidi ya hizi pale Umwanja wa ndege, kama kuna mdau anaweza kufanya investigative story kwenye combo cha habari anaweza kupata habari zaidi pale ..
Siku si nyingi wakati nasafiri tena kuna walinzi wa Kampuni binafsi Group 4 nadhani naona Mara zote huwa ni wale wale tu hawabadilishwi...wawili wakanibana, kaka haiwezi kutuacha. Hivi Hivi...Nilipofika juu eneo la kusubiria ndege nikakuta kuna msafiri amebanwa na wale walinzi wanao clear passport kabla hujaingia eneo la ku board ndege. Abiria huyo alikuwa na kadi ya chanjo (yellow fever) ambayo juu yake haikuwa na jina wala passport namba yake. walimbabatiza kuwa hiyo kadi si halali na kuwa wao wamekuwa wakipokea kesi Nyingi tu za watanzania kurejeshwa Afrika ya Kusini kutokana na kuwa na kadi feki. Jamaa waliotoa kama 20 Hivi wakamtengenezea kadi nyingine hapo hapo. Nilidhani ni suala geni hili lam kupata kadi ya chanjo hapo...Juzi wakati naelekea tena Afrika ya Kusini, Jamaa wakanibana, " mzee kadi yako Ike expiry, imechkaa,imechanika"...Nikasema sina nyingine ni hiyo hiyo na nimekuwa nasafiri na hiyo hiyo muda wote tokea 2006.
Jamaa wakadai haiwezekani kuniruhusu, nikawauliza sasa inakuwaje?..wakaniambia kama una Tshs. 30,0000 unapata faster....wakanielekeza kwa mmoja wao ambae alikuwa amezishika kadi nyingine mkononi. Nikawwambia ninyi sio mamlaka ya ku clear taaraifa za chanjo za ndui. Cha kushangaza nilipokomaa nikaruhusiwa, nikapata Boarding pass na kwenda ku board...
siku hiyo nilikuwa na Perfume kwenye begi yangu. Nilipofika sikuikuta na begi lilikuwa halijafunguliwa ila mmoja ya zip ilkuwa imevutwa upande.
kuna kero zaidi ya hizi pale Umwanja wa ndege, kama kuna mdau anaweza kufanya investigative story kwenye combo cha habari anaweza kupata habari zaidi pale ..