mheshimiwa, ni uzini siyo uzinzi.Duh ismail jussa ladhu,uzinzi eti wakristo wengi,cuf bora hamad rashid
Hakika nitaongea baada ya kupata uthibitisho wa hili jambo.Sidhani kama Jussa anaweza kujidhalilisha kwa kiwango hiki.
..sasa mbona aliyeshinda siyo Mkristo au mwenye asili ya Tanganyika?
..I dont think Jussa can be that shallow. Ningefurahi sana kama ungetuletea hayo mahojiano na sisi tupate kumsikia.
kwa usahihi...cuf ni chama cha waislam na wazanzibari tu...!Kwahiyo anasisitiza kwamba CUF ni chama cha waislamu tu?
Binafsi nimemsikiliza Jussa akihojiwa na Mlimani TV sababu za kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa uzini amesema
wakazi wengi wa uzini kwanza ni wakristo na si waislam na wanaasili ya bara hivyo hawakupoteza muda kufanya kampeni ya nguvu.
Kikweli naona Cuf wamechanganyikiwa.
Kwa kile alichokitamka toka kinywa chake ndiyo maana yake na nimerudia kuangalia tena tarifa ya saa tatu nimejiridhisha
kwa usahihi...cuf ni chama cha waislam na wazanzibari tu...!
Ni kauli hatari kwa umoja wa kitaifa na itaiweka cuf mahali pabaya sana
Kama umepata wasaa mliani tv wairudia hii kitu kwenye taarifa ya saa tatu na nusu
Kwa kile alichokitamka toka kinywa chake ndiyo maana yake na nimerudia kuangalia tena tarifa ya saa tatu nimejiridhisha
kuna kitu jussa anakitafuta kwa nguvu zote.Nimetetemeka mwili mzima baada ya kumsikia akitamka hayo maneno huku akiwa mkavu kabisa machoni