Kauli za Jussa juu ya uchaguzi wa Uzini ni hatari kwa umoja wa kitaifa!

wadau nami nimemuona live runingani mlimani akisema maneno hayo. nimemshangaa sana. kweli huyu ni mwanasharia. tendwa angekuwa makini na majukumu yake, walahi chama hiki kichovu angekifuta kesho. yaani hatimaye wamedhihirisha sera yao. barubaru upo au wala halua umangani?

Mkuu wangu Tendwa anapaswa sasa kutumia mamlaka yake kwa hawa wavuruga amani ya Taifa.Wabaguzi wa hali ya juu na walaghai wakubwa.
 
Guninita aliwahi kutamka siku nyingi kidogo......kwa mapuuzi ya vyama,chama fulani kitatawala miaka 1000
 
Tatizo la Wahindi na waarab wao ubaguzi upo damuni so msishangae sana dawa ya jeuri ni kusudi anzeni kumbagua ndio ataacha naye
 
hata leo asubuhi imerudiwa hii taarifa mlimani tv,..huyu jamaa ni provocative..cuf hawawezi kupata kura kidogo hivyo zanzibar,there must some sort of agreements kati ya cuf na ccmand given ukwasi wa raza,lazima atakuwa amewamwagia mamilioni cuf..hii ndio sababu ya kauli ya hii ya kidini ya jussa,anajaribu kufunika jambo hilo..stu.pid a.ra.b
 
Msajili wa vyama vya kisiasa anapaswa awe makini sana na wanasiasa wa ajabu kama huyu Jussa

Mimi nafikiri tungukua na taratibu ya kuvimonitor hivi vyama kila wakati kwani tukiviachilia hivi tunaweza kufikia to a point of no return kama tukifumbia macho kauli kama hizi
 
Matukio ya kuchomwa moto biashara za watu wenye asili ya Tanzania bara huko Zanzibar yamekuwa mengi. Mwaka jana (2011) zaidi ya vibanda 400 vya wafanyabiashara wenye asili ya Tanzanai bara vilipigwa moto! Ndani ya mji mkongwe jimbo ambalo Jussa ni mwakilishi nako kumekuwepo na matukio ya moto na Jussa hajasikika akikemea haya mambo. Ni jambo la kusikitisha sana kwa kiongozi wa umma kama Jussa kuwa mstari wa mbele wa kuwagawa wananchi kwa misingi ya dini zao au asili yao.

Sijui kwa nini viongozi huko juu hawajakemea hili. Kama kila mtu atafanya anayofanya huyu Jussa hata yeye mwenyewe (Jussa) asingebaki salama. Jussa ana damu ya kihindi kwa maneno mengine asili yake inaweza isiwe Zanzibar kwani Uhindi una chimbuko lake ambalo sio Zanzibar. Ni aibu kwa kiongozi kijana kama Jussa kukumbatia siasa chafu za kugawa watu. Aibu!
 
Alichosema Jussa ndio siasa za Zanzibar zilivyojikita. Majimbo ya Zanzibar yamegawanyika kwa vigezo hivyo. Hongera Jussa kwa kusema ukweli angalau katika hili. Raza atakusaidia sana katika kuupiga vita MUUNGANO.
 
Eeeh!!! Kwa hiyo alikuwa anaudhihilishia uma kwamba,CUF ni chama cha kiislam tu na si wakristo,anyway acha waendelee kujizika wenyewe.

Sio anadhihirisha CUF ni chama cha Waislam tuu! bali pia ni Chama cha Watu wenye Asili ya Zanzibar (Pemba).

Pia anataka kuuaminisha uma kwamba CHADEMA kimefanya vizuri kushinda CUF kwa vile wakazi wengi wa Uzini wana asili ya Bara na pia ni wakristo kwa maana hiyo CHADEMA inaungwa mkono zaidi na Wakristo na Wabara.


Sasa huku ndiko kufilisika kisiasa unaanza siasa za kuoteza badala ya hoja. Shame on you Jussa and CUF.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
jamani mwacheni huyu mwarabu jussa na nadhani tuache kumjadili kabisa kwani si mtanzania kwa sasa baba zake wadogo wote wameshakimbilia oman sasa nayeye anatafuta sababu ya kufukuzwa aende huko
 
Hakika hakuna kitu cha siri ambacho kitabaki kuwa siri miaka nenda rudi kama kitu hicho au mpango huo haujatimia au kutekellezwa...Aliyoongea huyu Kaburu (Jusa) Kama Mwl alivyokuwa anawaita watu wa aina hii ndio CUF yenyewe.....hii ndio ile ajenda ya siri ya CUF ya miaka nenda rudi sasa kwakuwa malengo hayajatimia bila kujitambua yanawatoka kupitia vinywa vyao....Huyu ni Kaburu tuu 100%.....na Wazanbar wakirogwa kuwapa nnchi watu hawa watarudishwa kule kule kabla ya Mapinduzi....
1). Mwarabu
2). Muhindi
3). Mtu Mweusi...yule mwafrika wa asili

Kwa kauli kama hizi kwa nnchi zenye maadili ya kweli ilitosha kabisa kumwajibisha mtu kama huyu....huyu hafai..hafai hafai ni adui.Kaburu tuu.. Racist....
 
Mbona huyu aliye"shindishwa" Uzini ni mlapilipili mwenzake. Ama kweli maneno ya Masaburi yametimia, huyu jamaa akili zimehama kichwani zimehamia mnyeoni.

Halafu hawa KAFU (by the way, KAFU kwa Kipemba = KAFA), ndio zao hizo. Katika kampeni za uchaguzi za mwaka 2000 Juma Duni Haji alisema, nanukuu, "Tarehe 30 Oktoba ndio siku ya mwisho ya utawala wa mtu mweusi Zanzibar". Cha ajabu ni kuwa yeye mwenyewe ni "mtu mweusi" kwa hivyo alitaka kuwaambia Watanzania kuwa KAFU ikishinda watawala hawatakuwa wao bali mabwana zao masultani na pengine magolo akina Jussa.
Scheiße!
 
Back
Top Bottom