Mjomba jamaa (Don Cissi) kakuwekea source...Umeumbuka!!
Yes Brother no Reserch no right to speak........
Mjomba jamaa (Don Cissi) kakuwekea source...Umeumbuka!!
bado niko NYUTRO kwa huyu bwana, ila kauli yake ni nzuri bado sikuamini bro...
Hatujui moyoni anawaza nini,lakini kauli hii inatia moyo!hongera Zitto!!
Inavyoonesha ZITTO hana uchungu na nchi
Huyu NIPO(MEMBER) NI KAMA M16 ALIYELETA HABARI ZA TUNDUMA ETI WAMEWASHIKILIA POLICE
NAKATAA HAYA SIO MANENO YA ZITTO
nAKATAA HAYA SIO MANENO YA ZITTO
Zitto amebadili ID siku hizi?
Kama umetubu na kurudi kundini tuambie mh Zitto.
Good one Zitto hongera...
... hebu turudi kule PPF tugawane zile pesa ulizofaidi:hat:
ulikuwa wapi mkuu jana ? sikukuona kwenye libeneke! au ulikuwa unasubiri kutoa tamko ili watu warudishe matumaini walipoteza kwako? anyway tumekusikia mwayego
mix with yours
Big up Zitto. Welcome on board.
Kama ungeonyesha negative response katika hili basi Wana-CHADEMA tungendelea kuamini kuwa wewe ulishakuwa mwasi.
Lakini let me put a question to you ,Mr. Zitto Zuberi Kabwe.Were you in Arusha yesterday during this saga? If yes how did you escape the police thugs?And if not, why not in Arusha to join your CHADEMA Leaders and colleagues in order to demonstrate a party unit?
Otherwise thanks for your good and encouranging thread.
Thanks.
CRAP
Analazimika kwa sasa kujikomba kwa cdm but we know where he belongs.
huwa sidanganyiiki...............ila na imani ur back bro,datz gud
Kuna mtu kanisms kuwa wabunge waliokuwa Arusha ni watu wa kaskazini tu je, hili linaukweli? Zitto kwa nini mara kadhaa ukosekana kwenye matukio ya Chadema yanayogusa isia za watu wengi?
Unataka kutuambia nini wewe? Kumbuka hao watu wa kaskazini ndiko yaliko majimbo yao ya uchaguzi, au ulitaka umkute Shibuda/Mnyika/Tundu Lisu huko? Zitto unamtakia nini? Kwanza unafahamu siku hiyo alikuwa wapi na jukumu gani? Good enough wa2 wa type yako tumeshawafahamu......Kuna mtu kanisms kuwa wabunge waliokuwa Arusha ni watu wa kaskazini tu je, hili linaukweli? Zitto kwa nini mara kadhaa ukosekana kwenye matukio ya Chadema yanayogusa isia za watu wengi?
nimekupotedheaala katiba mumepewa sasa mwatafuta mengine hayeni bwana... Tunashukuru kwa kutekeleza nia yenu ya watanzania kumwaga damu... Hongera lema... Tangu mwanzo ilionyesha jimbo lako lazima limwage damu... And it has happened... Nyerere alitumia tu maneno yake kudai uhuru... Sasa ninyi mnashindwa je kujenga hoja?
Big up Zitto. Welcome on board.
Kama ungeonyesha negative response katika hili basi Wana-CHADEMA tungendelea kuamini kuwa wewe ulishakuwa mwasi.
Lakini let me put a question to you ,Mr. Zitto Zuberi Kabwe.Were you in Arusha yesterday during this saga? If yes how did you escape the police thugs?And if not, why not in Arusha to join your CHADEMA Leaders and colleagues in order to demonstrate a party unit?
Otherwise thanks for your good and encouranging thread.
Thanks.
Ziito zitoooo Zittozitoooo
Acheni kufanya Siasa jukwaaa la taarabu.
Mbona hujauliza viongozi wengine wako wapi ?
Una share na zitto? .......Una Kisas na zitto?......Zitto kateka ubongo wako?............