Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nape ameandika hivi kwenye Wall yake ya Facebook
Nimejaribu Kusoma Katikati ya Mstari nimetfsiri/Nimegundua kwamba
1. Piga Ua Garagaza ilikuwa ni Lazima Lema ang'olewe Ubunge wa Arusha kwa Maana kwa Mujibu wa CCM Lema alikuwa anazuia Shughuli za Uchumi na Biashara ziendelee
2. CCM Ilipanga hukumu ile ila Nape hawezi kuweka kitu Kifuani aidha kwa Chuki au Chochote kile ameamua kuweka wazi siri yote. Ila Sishangai si hawa ndio walivujisha barua juu ya Utata wa Uraia wa Sioi
3. CCM wanamuogopa Lema na Wasingependa Agombee tena (Ili Kurudisha "Amani" na "Utulivu" Arusha) So CDM wajiandae kisheria Naamini Mapambano ya CCM/Serikali yake hayajaisha jana. Watakuwa wanasubiri Muda wa Lema kukata/kukubaliana na Rufaa upite wafungue kesi nyingine ya Pingamizi.
4. Kwa hali inavyoelekea itachukua Muda Mrefu sana kwa Arusha kupata Mbunge
[h=6]NAAMINI MUNGU KAAMUA KURUDISHA AMANI YA MJI WA ARUSHA ILI SHUGHULI ZINGINE ZIENDELEE NA WATALII WAJE KWA AMANI, AJIRA ZIONGEZEKE, UCHUMI WA ARUSHA UKUE....[/h]
Nimejaribu Kusoma Katikati ya Mstari nimetfsiri/Nimegundua kwamba
1. Piga Ua Garagaza ilikuwa ni Lazima Lema ang'olewe Ubunge wa Arusha kwa Maana kwa Mujibu wa CCM Lema alikuwa anazuia Shughuli za Uchumi na Biashara ziendelee
2. CCM Ilipanga hukumu ile ila Nape hawezi kuweka kitu Kifuani aidha kwa Chuki au Chochote kile ameamua kuweka wazi siri yote. Ila Sishangai si hawa ndio walivujisha barua juu ya Utata wa Uraia wa Sioi
3. CCM wanamuogopa Lema na Wasingependa Agombee tena (Ili Kurudisha "Amani" na "Utulivu" Arusha) So CDM wajiandae kisheria Naamini Mapambano ya CCM/Serikali yake hayajaisha jana. Watakuwa wanasubiri Muda wa Lema kukata/kukubaliana na Rufaa upite wafungue kesi nyingine ya Pingamizi.
4. Kwa hali inavyoelekea itachukua Muda Mrefu sana kwa Arusha kupata Mbunge