Ni kweli mkuu Startv wana jaribu jaribu lakini bado hawajawa fair....TBC ndiyo wajigawia CCM...Mfano siku Prof Safari alipo hamia CDM sikumbuki kama taarifa hiyo ilionyeshwa hata kwa sekunde 10, lakini chitambala alipo hamia CCM, taarifa hiyo ilirushwa kwa zaidi ya dakika 2....
Amen and Amen