Mmmmh! 'Great Thinker' umeanza vzr kwa kutupeleka kuwa huenda kuna kitu kidogo kinatembea, sasa tena unaharibu ndugu yangu unapoingiza 'gender' humo, kama kweli ww ni 'GT' hivi kweli unaweza kufikiri kuwa 'fighters' wetu wamepozwa kwa kupewa 'uraia' na mama? Hebu kuwa makini unapoleta mjadala.
mmmmh! Nilikuwa cjaelewa sa hapa ndo nmechoka kabisa, yule c mbibi jamaniUna maana Makinda katumia nanihi kuwafunga domo?
nadhani hilo swali umemlenga spika na sio lissu au lema... sasa wao wanahusikaje na yaliyotokea wakati wa zitto au jinsia ya spika?Kwanza kwa Lema, ulipotaka kutoa ushahidi kuwa Pinda kadanganya bungeni spika akakataa usilonge mjengoni bali mkaonane 'faragha' na huko umpe mambo yako. Na Lissu pia majuzi nimekuona umeng'aka na Ngeleja kudanganya na wewe pia umealikwa 'faraghani' ukampe spika mambo yako; sasa swali - huko faraghani mlifanya nini na matokeo yake ni yapi? Maana huu utakuwa uhuni sasa, waziri anadanganya na nyinyi mambo mnamalizia faraghani.Naombeni jibu hapa jukwaani. Mbona Zitto aliposhambulia uongo wa Karamagi alipigwa chini vikao kibao na hakuitwa faraghani? au ni kwa sababu enzi zile spika hakuwa mwanamama?
Msikilizi kamanda Godbless Lema kwa Wana Arusha na Watanzania kwa ujumla..