Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unania ya dhati wasiliana nae 0753 444 443, 0688 111 161 na 0659 173 663 au fika ofisi ya mbunge Arusha Mjini..MP Lema, umegusa moyo wangu!
Mimi nahitaji copy ya huu ujumbe muhimu. Nitainunua hii CD kwa laki 5 Tsh. Itakuwa rahisi ukituunganisha kupitia kwa Invisible ili tuweze kulipia. Otherwise, kama utapendelea njia nyingine ni vema pia utujulishe.
Nawasilisha.
gud stat,tusivunjike moyo makamanda wote.Wakuu hii kitu ikisambazwa nchi nzima itauza na kitachopatikana kitasaidia mapambano
CDM, Very soon tutakua na Radio yenye mlengo wa mabadiliko ya kweli. . . . .endeleeni kutuunga mkono.
Ni kweli mkuu Startv wana jaribu jaribu lakini bado hawajawa fair....TBC ndiyo wajigawia CCM...Mfano siku Prof Safari alipo hamia CDM sikumbuki kama taarifa hiyo ilionyeshwa hata kwa sekunde 10, lakini chitambala alipo hamia CCM, taarifa hiyo ilirushwa kwa zaidi ya dakika 2....msichelewe kuifungua,kama kuna njia ya kuchangia kwa simu mtujuze! pamoja tunajua mtabaniwa na wenye mitandao kama enzi za uchaguzi.
Sijapata redio sahihi ya kusikiliza mpaka leo hii,even local TV. hasa kuhusu redio nyingi kipindi cha uchaguzi; takribani redio zote zinawapa airtime kubwa sana ccm, sijui ni uoga au itikadi zao.
Nguvu ya umma itatujenga maskini
Kachangie basi wadogo zako waende shule....
Wasiliana nae 0753 444 443, 0688 111 161 na 0659 173 663 au fika ofisi ya mbunge Arusha Mjini...
WAKUU HESHIMA MBELE!
Hii nimeipenda. Single hii inapatikana wapi mazee?
Mambo kama haya Komba na TOT yake hawayawezi kabisa. Na hivi ameanza kusinzia bungeni ndio basi tena.