Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 551
sioni ttz kwa mh Lowasa kutoa remark hiyo kwani hata sisi raia wa kawaida tulifurahi kuona jinsi JWTZ walivyoreact na kuonyesha ukomavu na utayari wao kikazi, Mh ametoa tamko hilo kwa mapenzi yake na TZ na hiyo unavyofikiria ww ndivyo hivyo hivyo na itatimia
Hata haueleweki weye!