Mbio za URAITHI tabu kweli kweli
kama Membe alikwisha toa kauli ya serikali kulikuwa na haja gani ten EL kurudia kauli ileile? Mjukumu ya mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Bunge hayajulikani? Kama yanajulikana, na kama amevuka mipaka ni nani wa kumuonya dhidi ya upotofu huo? Kamati hiyo inawajibika kwa nani? EL hajaliamrisha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenda vitani, kwa nini JWTZ wanaona wajibu kabla kuulizwa au kuelekezwa chochote? Kusema Jeshi letu ni imara kunawza kufanywa na mtu yeyote hata asiye na madaraka yoyote wala uhakika wowote wa kauli hiyo, je ni kosa? Je ikiwa atasema Jeshi letu ni dhaifu atakuwa sahihi?
Kauli hiyo ikisemwa na EL au JK kutabadili ukweli wa hali halisi ya Jeshi lilivyo?
Agree with you Mkuu, dhaifu anaweza kupewa safari USA, EU akawa anachekacheka tu...Joyce Banda akaingia as you said, mpaka Magogoni ndio dhaifu angestukaGood, hebu mwambie huyo mnafiki aliyetumwa na CCM. Mkwara wa Lowasa umesaidia sana. Wewe unategemea JK angesema, angesubiri mpaka watu wachukue Ruvuma yote, Iringa, Mbeya, labda wangeanza kutaka kuiteka Morogoro ndiyo angewaita Wazee wa DSM kuwaeleza msimamo wa serikali.Si ndivyo anavyofanya. Acheni unafiki enyi vibaraka wa JK, TZ ina watu makini wengi sana. Yaani EL, Membe na Sitta wameleta heshima ya nchi.Acheni ubishi wa kijinga.
Jeshi letu ni Imara.Tuna vijana imara ambao wako tayari kuilinda mipaka ya nchi yetu. Naamini sijakosea. Sijui shida iko wapi ukiamua kujivunia jeshi lako.
Lowasa amefanya dhambi gani kuongea kama raia mwema! Mimi naishangaa sana mitanzania inayopiga kelele na kufyata mikia ooh hakuna haja ya vita......... sasa wachukue ziwa lao!! Hakuna anayetaka vita. Wamalawi wanatuprovoke na wanataka 100% ziwa! Kuna watz zaidi ya 600000 wanapata riziki zao ziwa nyasa!
Tunababaishwa na mipaka feki ya wakoloni hapa
Kikwete kasema nini so far? MiTZ bwana uzalendo wenu uko wapi
Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa ugomvi ni nani?Lowasa amefanya dhambi gani kuongea kama raia mwema! Mimi naishangaa sana mitanzania inayopiga kelele na kufyata mikia ooh hakuna haja ya vita......... sasa wachukue ziwa lao!! Hakuna anayetaka vita. Wamalawi wanatuprovoke na wanataka 100% ziwa! Kuna watz zaidi ya 600000 wanapata riziki zao ziwa nyasa!
Tunababaishwa na mipaka feki ya wakoloni hapa
Kikwete kasema nini so far? MiTZ bwana uzalendo wenu uko wapi
Ambaye ana authority ipi over JWTZ?
Jeshi letu ni Imara.Tuna vijana imara ambao wako tayari kuilinda mipaka ya nchi yetu. Naamini sijakosea. Sijui shida iko wapi ukiamua kujivunia jeshi lako.
Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa kufyata mkia ni nani?Aliyekuambia uzalendo unadhihirishwa kwa ugomvi ni nani?