Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
rais anapotoshwa na washauri wake
huyo mwenye mamlaka yupo wp?
Jamani, mwacheni atuwakilishe kwenye misibaOkay. So you mean kwamba Jakaya kaliinstruct Jeshi lim-burst lowasa? kama ni kweli safi sana na ninawithdrawal kauli yangu ya udhaifu, lakini kwanini asifanye hivyo mwenyewe? ataendelea kujificha nyuma ya wasaidizi wake mpaka lini?
Tuna tatizo kubwa sana na uongozi wa bunge letu; hawa wenyeviti wa kamati za bunge sio wasemaji wa bunge!! Msemaji mkuu wa bunge ni Spika , hawa wenyeviti wanatakiwa kureport shuhuli zao kwa Spika na yeye ndiye mwenye mamlaka ya kutoa tamko kwa niaba ya bunge. Uongozi dhaifu wa bunge ndio umewafanya hawa wenyeviti wajitwalie madaraka ambayo si yao!! Nature abhors a vacuum!!!
Hivi hamjui Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Tanzania ni nani?
Hakuna Mwanajeshi wa chini yake anaeweza kuliongelea taifa kisiasa bila amri na au idhini yake.
Hivi amirijeshi mkuu wetu ni yupi vile? Yule bubu au ni Yule kiziwi?
LOWASSA ni mkurupukaji wa siku nyingi na always ukurupukaji uwa una mgharimu ila ndo hivyo maskini HAJAJITAMBUA laiti na MALAWI kama kungekua na wakurupukaji km huyu nadhani saivi tungekua tiari tunaongerea habari nyingine...Kauli ya LOWASSA ilikua ni kubwa sana as if na upande wa pili tiari wameshapeleka vifaru hatuitaji VITA na wala MALAWI hatudhani km wanahitaji vita zaidi ya maendeleo! Ukipitia blogs nyingi za malawi tunaonekana km sisi ni wagonvi, hatujaelimika na warmongering! hongera JWTZ kwakuona mbali sio huyu mkurupukaji kwanza wote wanasali kanisa moja kwa TB JOSHUA
huyo mwenye mamlaka yupo wp?
kusema jeshi lipo fit kwa kupigana, wanakanusha nini kwani hawako fit? JK anawaza safari, bora EL amedhubutu hata kuwatishia no matter tuna nguvu ana la!
Amiri Jeshi mkuu hatakiwi kusema tupo tayari ni kusema vijana kazi ianze!