brainiac89
Member
- Dec 3, 2011
- 35
- 29
- Thread starter
- #41
nadhani kaka wasipokusikia wewe watakua ni wapumbavu! Hawa jamaa wanadaiasante
sana
mkuu, hawa madr we2 wameshakua hopeless, eti watagoma mpk mponda
na nkya wajiuzulu. Pia ni wabinafsi tu, kama mishahara yao ni midogo,
bila shaka ya sekta nyingne ni midogo pia. So km wana uzalendo,
wangeweka ubinafsi wao pembeni na kama wanagoma basi wagome kwa maslah
ya kada zote. Mimi binafsi siwaungi mkono hata kdg. Kama ni mazingira
magumu ya kazi, hebu waseme mwalimu aliyepangiwa kufundisha shule ya
kata wilaya ya kibondo vijijini huko kigoma ana mazingira rahisi ya
kazi? Wasituzingue sisi, wachape kazi na wadai maslah yao kwa mpango
sio kuwapa tabu watanzania.
mazingra magumu ya kazi kila m2 anamazingira magumu! Hawajawah
kujiuliza walgmu wa chemistry wanavyocheza na zile chemicals maabara
kuwafanya wao wajenge msingi wa hapo walipofikia! Hawa jamaa wamekua
hopeless kbs