Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Utafiti wangu binafsi.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazini.
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba cha daktari kama wapo kijiweni.
Wastani wa kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dk 40 huko chumbani, utadhan unamfanyia brain surgery.
Tanzania doctors wake up.
Ukienda south Africa ndio utaona u-panctuality wa madaktari.
Madaktari wengi Tanzania hawawezi KWENDA na muda wanapoteza muda sana wawapo kazini.
Kuna foleni zipo mahospitalini simply because madaktari na lab technician hawazingatii muda.
Daktari anapiga soga na mgonjwa ndani ya chumba cha daktari kama wapo kijiweni.
Wastani wa kumuhudumia mgonjwa ambae vipimo vimeshaonyesha ana malaria ni less than 10 min sio unakaa nae dk 40 huko chumbani, utadhan unamfanyia brain surgery.
Tanzania doctors wake up.
Ukienda south Africa ndio utaona u-panctuality wa madaktari.