Katibu wa CHADEMA Kinondoni azua balaa kwenye kikao

mkuu kikao kiliendelea kwakutumia nguvu ya watumishi pale walipo piga kura wengi wakasema kiendelee ila iwe mwanzo na mwisho, ila KILEWO hakuvunjika moyo aliendeleza makombora makali na kukosekana majibu, makombora hayo nikama ifuatavyo
1. nikutaka manspaa kutoa taarifa ya tume ya lukuvi juu ya viwanja vya wazi, jibu. swala hilo lipo mahakamani.
2. kupatiwa taarifa juu ya soko la big brother, jibu tunaomba radhi kwakutoiweka taarifa hii kwenye agenda za kikao hiki.
3. kupatiwa mapato halali yanayo patikana kwa mwekezaji wa MLIMANI CIT, jibu hatuna data za kutosha kwakuwa mweka hazina hayupo.
4.tunapenda kufahamu miradi ya maji iliyopo ndani ya wilaya ya kinondoni, jibu. tuliwaomba idara ya maji wafike hapa leo ila hawajafika wao ndiyo wangekuwa na majibu sahihi , ila kwasisi hatuna majibu sahihi tutawaletea mirsdi hiyo kwenye kikao kijacho. hayo ndiyo aliyo uliza bwana kilewo ila yalikosa majibu, bravo MNYIKA kwakukuza jembe lingine kijana leo alikomaa nanafasi yako haikuonekana kupwaya

Mmmhh!Kazi kweli kweli!Dhana ya utawala bora inahubiriwa na CCM lakini bado viongozi wake wahaielewi au hawataki kuitekeleza kwa makusudi.
Hongera bw.Kilewo kwa ufuatiliaji makini.
 
kweli taifa sasa limeanza kupata tiba, kupata vijana kama hawa wasiyo kuwa nawoga kama ni nyeusi wana sema nyeusi ni dhahiri ya kuwa CDM ni chuwo cha viongozi makini kwani kila aliyopo CDM akisimama mahali anafiti, kama katibu huyu ametigisha wilaya bila ya wabunge wake, halima na mnyika.

ila toka siku nyingi nilisema KILEWO nikijana makini sana kwakuwa ni mtu mwenye kuongea pale panapokuwa na maswala ya msingi, nikaambiwa kazidi upole sana, wakati mimi nimekuwa nikimfuatilia mikutano anayofanya na LEMA mbunge wa arusha, anaongea point tupu na huu ujasiri nadhani kaupata zaidi kutoka kwa swahiba wake LEMA: big up CDM kuunganisha vijana wenye dhamira ya kuchukua nchi .
 
Big Up Kilewo..umenikuna sana kwa maswali ya msingi.
Je wengine waliuliza nini? au walikuwa wanapiga miayo kungojea posho ya kikao
 
Nchi yetu inahitaji vijana wengi wa namna ya Kiwelo. Kwakuwa wameanza kujitokeza, sisi ni kuwapa nafasi na ujasiri wahoji yale tunayotaka kufahamu na kupinga udhalimu hadi kieleweke! Big up Mr Kiwelo!
 
Back
Top Bottom