Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
RadioOneStereo
Breaking News:Katibu wa BAKWATA Mkoa wa Arusha ABDULKARIM CHONJO amejeruhiwa vibaya na amelazwa katika Hospitali ya Mount Meru baada ya nyumba yake kulipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu usiku wa kuamkia leo
Asante Zanta sijasikia hii ya Radio One, basi kumbe taarifa zangu zitakuwa sahihi.
Thanks again for updates