LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hapa sasa tutapata majibu mazuri!
wadau watakuja na majibu mzuri ya wanachogombania!
wadau watakuja na majibu mzuri ya wanachogombania!
Hii issue ya Arusha inahusu makundi mawili yanayogambania Msikiti na mali zake.. Na ni mgogoro wa muda mrefu ambao Serikali Mkoani Arusha walikuwa wanaudharau.. Leo umefikia hapo kulipuana na mabomu.. Viongozi wa usalama wa mkoa wa Arusha wanaendelea na kazi zao..! Hii nchi haina neno la uwajibikaji kwenye kamusi yake.. Damn..