Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Namalizia kwa kusisitiza, kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa!. Chadema kwenye uundwaji tume mmefanya kosa!. Sheria imetungwa na sasa sio kosa tena, kosa ni kurudia kosa kama hamtoa maoni yenu kwenye tume!. Two wrongs don't make right, better late than never!.

2015 sio mbali kihivyo!.

Wasalaam
Paskali
Chadema susa susa, walifanya kosa kususia mchakato wa uundwaji wa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya.

Wakati wa kupiga kura kupitisha katiba mpya, Chadema walisusa tena!.

Sasa wamesusa tena eti wanataka ni mpaka katiba mpya!. Kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa. Chadema inafanya makosa makubwa kususa, huku ni kurudia kosa!.

Kila la kheri kwenye kususa.
P
 
Chadema susa susa, walifanya kosa kususia mchakato wa uundwaji wa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya.

Wakati wa kupiga kura kupitisha katiba mpya, Chadema walisusa tena!.

Sasa wamesusa tena eti wanataka ni mpaka katiba mpya!. Kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa. Chadema inafanya makosa makubwa kususa, huku ni kurudia kosa!.

Kila la kheri kwenye kususa.
P
Ccm wanachakachua maoni ya Wananchi halafu wewe unashabikia.. Ujinga gani huu?
 
Back
Top Bottom